• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Government Communication
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

MHE. TELACK ASISITIZA UZALISHAJI WA KOROSHO ZENYE UBORA

Posted on: November 9th, 2025

MHE. TELACK ASISITIZA UZALISHAJI WA KOROSHO ZENYE UBORA 

Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Zainab Telack amefungua rasmi mnada wa korosho msimu wa 2025, katika chama Kikuu cha Ushirika Lindi Mwambao kinachosimamia wilaya za Lindi, Kilwa pamoja na halmashauri ya Mtama.

Mnada wa kwanza kwa msimu huu katika Mkoa wa Lindi umefanyika Oktoba 9, 2025 kwa kutoa matumaini makubwa kwa wakulima wa zao hilo la biashara mkoani hapa, huku Mhe. Telack akiwasisitiza  wasimamizi wa Amcos na wasimamizi wa maghala kuepuka kupokea korosho chafu na kuhimiza uzalishaji wa korosho safi kwa kuzingatia ubora sahihi unaotakiwa katika ushindani kwenye soko la kimataifa, ambapo Tanzania imeendelea kuwa bora katika soko la kimataifa katika uzalishaji wa Korosho. 

“Msipokee korosho chafu msipokee korosho ambayo haijapimwa unyevu na zile korosho zinazokuja hazijakauka vizuri hakikisheni wakulima mnawaelekeza vizuri wazianike zifikie kile kiwango kinachohitajika, napenda kusisitiza kwamba serikali haitasita kuchukua hatua kali dhidi ya mtu yeyote atakayejaribu kuhujumu korosho za mkulima, tunataka mkulima aliyeleta korosho zake amezichambua vizuri, amezikausha vizuri zibaki kama zilivyo na ziingie sokoni kama zilivyo ili apate bei kulingana na kazi aliyoifanya” amesisitiza Mhe. Telack.


Katika mnada huo uliofanyika chini ya usimamizi wa Chama Kikuu cha Ushirika cha Lindi Mwambao kupitia Soko la Bidhaa Tanzania (TMX), wakulima wameuza korosho ghafi kwa bei ya juu ya shilingi 2,460 na bei ya chini ya shilingi 2,310 kwa kilo ambapo zaidi ya tani 5,105 kilo 175 zimeuzwa katika mnada huo.







Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • MWEKEZAJI WA KIWANDA CHA KUCHAKATA MABAKI YA NAZI NA MAGANDA YA KOROSHO ASAINI MKATABA LINDI.

    November 13, 2025
  • RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

    November 13, 2025
  • RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

    November 13, 2025
  • RAS LINDI: AKAGUA UJENZI NA UKARABATI WA MIUNDOMBINU YA OFISI YA MKUU WA MKOA

    November 12, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.