• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

MHE. ZAINAB R. TERACK AWATAKA WAKURUGENZI WAENDELEE KUFANYA KAZI NA KUTOSUBIRI UTEUZI.

Posted on: June 17th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Zainab R. Telack amesema hayo leo tarehe 17 Juni 2021 kwenye ukumbi wa Mkuu wa Mkoa wa Lindi alipokuwa anafungua kikao kazi cha uchambuzi wa mipango na bajeti ya maendeleo kwa Mamlaka za Serikali za Mitaa itakayotekelezwa kupitia mapato ya ndani ya Halmashauri kwa mwaka 2021/2022." Wakurugenzi tufanye kazi, tusikae kusubiri mkeka wa uteuzi" amesema Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Lindi.

Pamoja na kusisitiza suala la utendaji, Mhe. Mkuu wa Mkoa amewataka Maafisa Mipango wa Halmashauri kuwashauri wakurugenzi vizuri, na wakurugenzi wahakikishe wanazifahamu Halmashauri zao vizuri kwa maslahi mapana ya wengi. Amewaeleza wakurugenzi na Maafisa Mipango katika ziara yake ya muda mfupi aliyofanya amejionea changamoto ya ubovu wa barabara nyingi ambazo hazipitiki, jambo ambalo linaadhiri ushawishi kwa wawekezaji. Hivyo, Kupitia kikao kazi hicho amewataka itengwe bajeti ya kuchonga barabara zenye changamoto za kutopitika.

Katika mipango iliyoainishwa, Mhe. Mkuu wa Mkoa kwa msisitizo mkubwa amewaeleza watendaji wa Halmashauri hatokubali kuona 10% ya fedha zinazotengwa kupitia bajeti kwa ajili ya maendeleo ya kina mama, vijana na walemavu haziwanufaishi wahusika. Aliongezea kuwa kutotekeleza uwezeshaji wa makundi hayo kwa 100% ni kumuangusha Mhe. Rais, kitendo ambacho hakikubaliki. Sambamba na hilo amewataka wakurugenzi wawasilishe fedha za lishe za watoto wa shule kwa 100% na wakati husika. 

Mhe. Mkuu wa Mkoa amezielekeza Halmashauri zote kupitia 10% ya fedha zinazotengwa kwa kina mama, vijana na walemavu vinunuliwe vifaa vya vikundi husika badala ya kuwapatia pesa taslimu kitendo kinachokwamisha malengo ya vikundi mbalimbali. 

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.