• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

MIRADI YA ZAIDI BIL 2 YATEMBELEWA NA TIMU YA UFUATILIAJI NA TATHIMINI YA MKOA, WILAYANI NACHINGWEA.

Posted on: October 10th, 2025

MIRADI YA ZAIDI BIL 2 YATEMBELEWA NA TIMU YA UFUATILIAJI NA TATHIMINI YA MKOA, WILAYANI NACHINGWEA. 

Timu ya ufuatiliaji na tathimini ya Mkoa wa Lindi imefanya ufuatiliaji na tathimini ya miradi ya maendeleo katika Halmashauri ya Nachingwea leo Oktoba 10, 2025 ambapo miradi yenye thamani ya zaidi ya Bilioni mbili imetembelewa katika Tarafa ya kilimarondo na Naipanga. Timu hiyo ambayo imeongozwa na katibu Tawala Msaidizi Mkoa seksheni ya Mipango na uratibu Ndugu Juhudi Mgallah akiambatana na wataalamu kutoka mkoani na Halmashauri, wamefanya ufuatiliaji wa pamoja na tathimini katika miradi ifuatayo; ujenzi wa shule Tatu za sekondari ambazo kila moja imegharimu zaidi ya Milioni 560, Shule hizo ni Shule ya Sekondari Mtuanana, Shule ya Sekondari Chiumbati Shuleni na Shule ya Sekondari Amani, umaliziaji wa Nyumba ya Afisa Tarafa ya kilimarondo Milioni 35, ujenzi wa Nyumba ya Mwalimu Shule ya Sekondari kilimarondo Milioni 37, ujenzi wa Mabweni mawili yenye matundu 16 kwa thamani ya Milioni 283 na ujenzi wa mabweni mawili bila choo kwa thamani ya Milinioni 256. Aidha, timu hiyo inatarajia kuendelea na ufuatiliaji siku ya pili Oktoba 11, 2025 katika wilaya hiyo na baadae kutoa mrejesho wa pamoja kwa ajili ya kuongeza ufanisi katika kufanikisha miradi kwa viwango vinavyohitajika.










Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA WASIMAMIZI NA MAKARANI WA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 2025 JIMBO LA LIWALE

    October 15, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA WASIMAMIZI NA MAKARANI WA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 2025 JIMBO LA LIWALE

    October 15, 2025
  • MRADI WA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI

    October 13, 2025
  • MIRADI YA ZAIDI BIL 2 YATEMBELEWA NA TIMU YA UFUATILIAJI NA TATHIMINI YA MKOA, WILAYANI NACHINGWEA.

    October 10, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.