• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Government Communication
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

MNADA WA PILI RUNALI; KOROSHO ZAUZWA KWA BEI YA JUU TSH 2730 NA YA CHINI TSH 2590

Posted on: November 16th, 2025

MNADA WA PILI RUNALI; KOROSHO ZAUZWA KWA BEI YA JUU TSH 2730 NA YA CHINI TSH 2590.


Mnada wa pili wa korosho wa Chama Kikuu cha Ushirika RUNALI umefanyika Novemba 16, 2025 katika ghala la Lipande Wilayani Ruangwa ambapo katika mnada huo jumla ya tani 18,601 za korosho zimeuzwa kupitia mnada ulioendeshwa kwa mfumo wa TMX.


Wakulima wamekubali kuuza korosho zao kwa bei ya juu Tsh 2,730 kwa kilo huku bei ya chini ikiwa ni Tsh 2,590 kwa kilo baada ya ushindani mzuri kutoka kwa wanunuzi na kuashiria muendelezo wa matumaini katika msimu wa mauzo ya korosho.


Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Mhe. Hassan Ngoma amepongeza uendeshaji wa mnada huo na kuwataka wakulima kuendelea kuboresha uzalishaji na ubora wa zao la korosho ili kuongeza thamani na ushindani kwenye soko la ndani na nje ya nchi na kusisitiza kuwa serikali itaendelea kuweka mazingira wezeshi ya uboreshaji wa sekta ya kilimo ili kumpa tija mkulima katika uzalishaji na kuboresha hali ya maisha.


Aidha, amewataka viongozi wa vyama vya Ushirika na Amcos kufuata sheria, taratibu na kanuni za Ushirika ili kumuwezesha mkulima kupata stahiki zake na kuwasisitiza wakulima kuandaa vyema mazao yao kwa kuzingatia vigezo na viwango vya ubora vinavyohitajika sokoi ili kuzidi kupata bei nzuri za mazao yao.

Mwenyekiti wa RUNALI, Bwn. Odas Mpunga amewasisitiza wakulima kuhakikisha korosho zao zinakaushwa vizuri ili kuendelea kupata bei nzuri sokoni na kuwakumbusha kuwa upelekaji wa korosho chafu na zenye unyevu sokoni hupelekea

kudororesha bei na kuharibu sifa za mazao yanayopatikana katika ukanda huu sokoni.





Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • UTEUZI: BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI

    November 17, 2025
  • MNADA WA PILI RUNALI; KOROSHO ZAUZWA KWA BEI YA JUU TSH 2730 NA YA CHINI TSH 2590

    November 16, 2025
  • MHE. DKT. SAMIA : SHULE ZA SEKONDARI ZA SAYANSI ZA WASICHANA NA VIPAJI MAALUM KWA WAVULANA KUKAMILISHWA KILA MKOA

    November 15, 2025
  • RAS LINDI: MFUMO WA GoTHOMIS NI LAZIMA KATIKA VITUO VYA AFYA

    November 14, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.