• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

MWENGE WA UHURU WAWASILI MKAONI LINDI

Posted on: April 11th, 2023

Mkoa wa Lindi Leo Jumanne tarehe 11 Aprili 2023 umeupokea mwenge wa Uhuru kutoka Mkoa wa Mtwara, ambapo makabidhiano yamefanyika katika kiwanja cha mpira cha Nyangao, Halmashauri ya Mtama.

Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mhe. Zainab Telack amekabidhiwa Mwenge wa Uhuru kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Abbas Ahmed Abbas. Sambamba na hilo Mhe. Telack amewapokea wakimbiza mwenge 6 wakiongozwa na Kiongozi wa Mbio za Mwenge Ndg. Abdalla Shaib Kaim.

Akipokea Mwenge wa Uhuru kutoka Mkoa wa Mtwara, Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mhe. Zainab Telack amesema kuwa Mwenge wa Uhuru katika Mkoa wa Lindi utakimbizwa  kwenye njia ya kilomita 1050.1 na kuipitia jumla ya Miradi 61 ya maendeleo yenye thamani ya Bilioni 51.5. Kati ya Miradi hiyo 61 , Mwenge wa Uhuru utaweka nawe ya msingi kwenye miradi 15, utazindua Miradi 10, kutembelea na kuona Miradi 36.

Mhe. Telack amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuchangia asilimia 98 ya fedha za kutekeleza Miradi yote 61 itakayopitiwa na Mwenge wa Uhuru. Huku asilimia 12 ya fedha zilizobaki zimetoka kwa wadau wa maendeleo, Halmashauri pamoja na nguvu ya wananchi.

Akimkaribisha Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru, Mhe. Telack ameongeza kuwa Mwenge wa Uhuru utakimbizwa katika Halmashauri zote 6 za Mkoa wa Lindi ambapo Halmashauri ya Mtama itakuwa ya kwanza.

Kwa upande wake, Kiongozi wa mbio za Mwenge, Ndg. Abdalla Shaib Kaim amesisitiza uwepo wa Nyaraka zote muhimu katika maeneo ya miradi sambamba na wataalam wanaohusika na Miradi hiyo.

Mkoa wa Lindi unakuwa Mkoa wa Pili kuukimbiza Mwenge wa Uhuru baada ya Mkoa wa Mtwara ambapo zilifanyika sherehe za uzinduzi kitaifa tarehe 01 Aprili 2023. 

Aidha, Kauli mbiu ya Mwenge wa Uhuru Kwa mwaka 2023 inasema " Tunza Mazingira, Okoa Vyanzo vya Maji Kwa Ustawi wa Viumbe Hai na Uchumi wa Taifa".




Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.