• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

NANENANE KANDA YA KUSINI 2025 KUJA NA MAMBO MAZURI MAZURI: RC MTWARA

Posted on: July 23rd, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Kanali Patrick Sawala akiongoza kikao cha Nne cha kamati ya maandalizi ya Maonesho ya Nanenane kanda ya kusini leo Julai 24, 2025 amewataka kamati ya maandalizi na taasisi shiriki kuhakikisha maonesho ya mwaka 2025 yanaleta yanakuwa mazuri, yawe na matokeo chanya pamoja na majibu ama suluhu ya changamoto mbalimbali za wananchi.


" Kwa mwaka huu tuwe wa utofauti , wananchi wanataka kuona vitu vipya na kupata majibu ya changamoto zao mbalimbali katika sekta za kilimo, uvuvi ,ufugaji  na kujifunza teknolojia mpya  za kisasa zitakazo weza kuwasaidia kusonga mbele na kujikwamua kiuchumi "


Akisisitiza hoja hiyo Mhe. Sawala amezitaka taasisi na mashirika yanaendelea kujiandaa vizuri pamoja na kufanya usafi wa mazingira  ya maeneo yao  kabla ya tarehe 28 Julai 2025 .


Mhe. Sawala amesisitiza wananchi waendelee kuhamasishwa umuhimu wa maonesho hayo kwa kuwashirikisha maafisa Mawasiliano wa Halmashauri na waandishi wa habari ili wananchi ambao ndiyo walengwa wa Nanenane waweze kushiriki kwa wingi.


Awali, Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Mhe. Hassan Ngoma kwaniaba ya Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Zainab Telack ameitaka kamati ya maandalizi kufanyakazi kwa ubunifu mkubwa kuepuka kufanya kazi kwa mazoea ambako hakuvutii ikiwemo aina za burudani ambazo zimekuwa zikitolewa .


Kauli mbiu ya maonesho ya mwaka 2025 inasema " Chagua viongzoi bora kwa Maendeleo ya Kilimo, Uvuvi na Ufugaji 2025 "


Akihitimisha kikao hicho, Mhe. Sawala amewataka wajumbe ambao hawajalipa ada ya ushiriki wa maonesho hayo kulipa ada ya ushiriki kabla ya Julai 28, 2025 .


Kikao cha mwisho kinatarajiwa kufanyika Julai 30, 2025 .

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • MADAKTARI WA DKT. SAMIA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA BOBEZI KATIKA HOSPITALI 7 ZA WILAYA, MKOANI LINDI.

    September 15, 2025
  • KAMBI YA MADAKTARI BINGWA NA BINGWA BOBEZI AWAMU YA NNE YAANZA KAZI MKOANI LINDI

    September 15, 2025
  • MADAKTARI BINGWA NA BOBEZI 49 WA MAMA SAMIA WAPOKELEWA LINDI.

    September 15, 2025
  • RAS LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA KUPITIA NA KUJADILI AFUA ZA LISHE APRIL- JUNI 2025.

    September 13, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.