• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

RAIS DKT. SAMIA AWAPA LESENI WACHIMBAJI WADOGO WA MADINI NDITI NACHINGWEA

Posted on: July 9th, 2025

Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde amebainisha kuwa Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameelekeza kutolewa kwa leseni ya uchimbaji madini ya nikeli kwa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) na kwa Wachimbaji wadogo waliokuwepo katika eneo la vilima vya Ntaka- Nachingwea, Mkoani Lindi. 

Waziri Mavunde ameyasema hayo leo tarehe 08 Julai, 2025 katika mkutano wa hadhara wa wananchi na wachimbaji katika Kijiji cha Nditi punde tu baada ya kufanya ziara ya kutembelea maeneo na migodi ya wachimbaji wadogo chini ya Umoja wa Vikundi vya Wachimbaji Madini (UVIWAMA). 

" Rais Dkt. Samia  Hassan amesikia kilio chenu cha muda mrefu cha kutaka kupewa maeneo ya uchimbaji katika Leseni inayomilikiwa na Serikali. Na ndiyo maana nimefika hapa kuja kuwaletea habari njema wachimbaji wadogo kwamba, hatutawaondoa katika eneo mnalochimba na tunakwenda kuwarasimisha," amesema. 

"Pamoja na kupewa eneo la uchimbaji, amewasihi wachimbaji wadogo kufuata taratibu kwa mujibu wa Sheria ya Madini Sura ya 123 ambayo inaelekeza mwenye haki madini kuhakikisha anapata ridhaa ya mwenye haki ardhi kabla hajaanza uchimbaji, ili kuepusha migogoro katika shughuli zao za uchimbaji. 

Rais Dkt. Samia ameelekeza eneo la leseni hiyo lenye ukubwa wa Kilometa za Mraba 45 ipewe  (STAMICO) kwa ajili ya kuanza uchimbaji mkubwa wa nikeli ndani ya miezi 18 ijayo kama Sheria ya Madini inavyoelekeza. 

"Kwa kuwa kwenye Leseni hii Serikali ililipa zaidi ya shilingi bilioni 243 kama fidia, ni lazima sasa  STAMICO na wachimbaji wadogo wafanye uchimbaji wenye tija ili kurejesha fedha hizo katika mfuko mkuu wa Serikali," amesema Mavunde.






@wizara_ya_madini_tanzania 

@ortamisemi 

@maelezonews 

@msemajimkuuwaserikali 

@gersonmsigwa

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • TPDC KUANZA UTAFITI WA KUTAMBUA UWEPO WA UKUBWA WA AKIBA YA MAFUTA NA GESI CHINI YA ARDHI LINDI

    July 15, 2025
  • MKOA WA LINDI WAFAULISHA WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA KWA 100%, RAS APONGEZA

    July 11, 2025
  • KIKAO CHA TATHMINI YA SEKTA YA ELIMU NUSU MUHULA CHAFANYIKA LINDI

    July 11, 2025
  • SERIKALI KUENDELEA KUWEKA MAZINGIRA WEZESHI KWA NGO's LINDI

    July 10, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.