• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

RAS LINDI APOKEA TUZO YA PONGEZI

Posted on: August 26th, 2025

Kamati ya uratibu Maandalizi ya Maonesho ya Madini na fursa za Uwekezaji Mkoa wa Lindi 2025, imetoa tuzo ya pongezi kwa katibu Tawala Mkoa wa Lindi Bi. Zuwena Omary @jirized kwa kutambua Mchango wake Mkubwa katika kufanikisha maandalizi ya maonesho ya Madini Mkoa wa Lindi mwaka 2025.

Tuzo hiyo imekabidhiwa rasmi leo Agosti 26,2025 na  Mwenyekiti wa kamati ya uratibu wa Maonesho hayo Ndugu Mwinjuma Mkungu akiambatana na baadhi ya wajumbe wa kamati. Tuzo hiyo ilitajwa Juni 2025 siku ya killele cha Maonesho ya Madini yaliyofanyika wilayani Ruangwa.


Ndugu Mkungu, amesema kuwa, kamati imetoa tuzo kwa wadau, Mashirika, Taasisi na viongozi mbalimbali akiwemo Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Zainab Telack ambaye ndiye mwasisi wa Maonesho hayo ya Mkoa.


“Tunakukabidhi tuzo hii ishara ya kutambua mchango wako na maelekezo yako katika kufanikisha Maonesho ya Madini Mkoa wa Lindi 2025 kufanyika kwa kiwango na ubora mkubwa “ Mkungu .


Kwa upande wake Katibu Tawala Bi. Zuwena Omary amewashukuru wajumbe wa kamati hiyo, kwa kutambua mchango wake katika kufanikisha Maonesho hayo.


Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • RAS LINDI APOKEA TUZO YA PONGEZI

    August 26, 2025
  • RAS LINDI AWATAKA WAJASIRIAMALI KUWA WABUNIFU ILI KUONGEZA TIJA KATIKA BIDHAA WANAZOZALISHA.

    August 25, 2025
  • LINDI YAINGIZA BIL. 364.3 MAUZO YA KOROSHO 2024/25.

    August 23, 2025
  • VIJANA WATAKIWA KUWA WAVUMILIVU, WAADILIFU NA WACHAPAKAZI ILI KUFIKIA MALENGO YAO NA KUJENGA IMANI NDANI YA JAMII

    August 22, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.