• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

RAS LINDI APOKEA VIFAA VYA UCHUNGUZI NA MATIBABU YA MACHO VYENYE THAMANI YA MIL 56 KUTOKA SHIRIKA LA SIGHTSAVER

Posted on: August 5th, 2025

Katibu Tawala wa Mkoa wa Lindi, Bi. Zuwena Omary leo amepokea rasmi vifaa vya uchunguzi na matibabu ya macho vyenye thamani ya shilingi milioni 56, vilivyotolewa na Shirika la Kimataifa la Sightsavers kwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Lindi – Sokoine.


Akizungumza wakati wa hafla fupi ya makabidhiano iliyofanyika katika hospitali hiyo, RAS. Zuwena amesema kuwa msaada huo ni kielelezo cha ushirikiano mzuri kati ya Serikali na wadau wa maendeleo katika kuboresha huduma za afya, hususan huduma za macho kwa wananchi.


Licha ya pongezi hizo, RAS ametoa rai kwa watoa huduma za afya katika hospitali ya sokoine kuhakikisha vifaa hivyo vinaleta tija kwa wananchi kwa kuhakikisha uboreshaji wa huduma zinazotolewa kwa wananchi. Vilevile, ametoa wito kwa wananchi kujitokeza kwa wingi kupata huduma za macho katika hospitali hii na kuwahakikisha kupata huduma stahiki wanayoitarajia.


Kwa upande wake, Meneja mradi wa Sightsavers amesema kuwa vifaa hivyo ni sehemu ya mkakati wa shirika hilo kusaidia upatikanaji wa huduma jumuishi na rafiki kwa watu wote.


Uongozi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Lindi umeishukuru Sightsavers  kupitia Ndugu. Peter Kivungi  ameeleza kuwa vifaa hivyo vitaongeza uwezo wa hospitali kutoa huduma bora za macho, ikiwemo upimaji wa macho, uchunguzi wa kina, na tiba stahiki kwa wagonjwa.


Katibu Tawala Msaidizi Afya, Dkt. Kheri Kagya ameeleza kuwa serikali itaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wadau wote wanaojitokeza kusaidia sekta ya afya, huku ikisisitiza matumizi sahihi na uendelevu wa vifaa hivyo kwa maslahi ya wananchi wa Lindi na Tanzania kwa ujumla.


Vifaa vilivyopokelewa leo ni pamoja na mashine ya B-scan ya macho (1), hadubini ya upasuaji (1), seti ya vifaa vya upasuaji wa mtoto wa jicho (3), lenzi ya 90D kwa uchunguzi wa retina (1), seti ya lenzi za majaribio (1), fremu ya majaribio kwa watu wazima (1) na fremu ya majaribio kwa watoto (1).

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • MADAKTARI WA DKT. SAMIA KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA NA BOBEZI KATIKA HOSPITALI 7 ZA WILAYA, MKOANI LINDI.

    September 15, 2025
  • KAMBI YA MADAKTARI BINGWA NA BINGWA BOBEZI AWAMU YA NNE YAANZA KAZI MKOANI LINDI

    September 15, 2025
  • MADAKTARI BINGWA NA BOBEZI 49 WA MAMA SAMIA WAPOKELEWA LINDI.

    September 15, 2025
  • RAS LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA KUPITIA NA KUJADILI AFUA ZA LISHE APRIL- JUNI 2025.

    September 13, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.