• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Mkoa Wa Lindi

Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Ofisi ya waziri mkuu tawala za mikoa na serikali za mitaa Mkoa Wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

RAS LINDI: MFUMO WA GoTHOMIS NI LAZIMA KATIKA VITUO VYA AFYA

Posted on: November 14th, 2025

RAS LINDI: MFUMO WA GoTHOMIS NI LAZIMA KATIKA VITUO VYA AFYA 

Katibu Tawala wa Mkoa wa Lindi, Bi. Zuwena Omary, amewataka watumishi wa sekta ya afya kutumia mifumo ya kielektroniki, hususan mfumo wa GoTHOMIS, ambao ni nguzo muhimu katika kusimamia taarifa za wagonjwa, ukusanyaji wa mapato na utoaji wa huduma bora katika vituo vya kutolea huduma za afya.

Ametoa agizo hilo katika kikao cha uwasilishaji wa ripoti ya ukaguzi wa Hospitali, Vituo vya Afya na Zahanati wilayani Kilwa, kilichofanyika leo tarehe 14 Novemba 2025. 

Aidha, amewaagiza Waganga Wafawidhi wa vituo hivyo kuhakikisha wanawashirikisha watumishi wenzao katika kujadili changamoto zinazowakabili ili kuwe na utatuzi na uwajibikaji wa pamoja. Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Mkoa wa Lindi Dkt. Kheri kagya ametoa wito kwa watumishi hao kuzingatia maadili ya taaluma yao Aidha, amehimiza kuwepo kwa mpango maalumu wa kuboresha huduma kwa wagonjwa ili kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma za afya Naye, Katibu Tawala wa Wilaya ya Kilwa, Ndg. Yusuf Mwinyi, amewataka watumishi wa sekta hizo kuwajibika ipasavyo, akisisitiza kuwa ukaguzi unaweza kufanyika wakati wowote ili kuhakikisha utoaji wa huduma bora kwa wananchi.

Kadhalika Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa, Ndg. Hemed Magaro, pamoja na waganga wafawidhi wa vituo hivyo wameahidi kushughulikia changamoto zinazoikabili sekta ya afya ili kuimarisha ustawi wa sekta hiyo katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa.





Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • WAZIRI GWAJIMA: AIPONGEZA LINDI KWA KIKAO KAZI CHA MAAFISA MAENDELEO YA JAMII MKOA

    December 04, 2025
  • MAAFISA MAENDELEO YA JAMII LINDI WATAKIWA KUWAJIBIKA

    December 04, 2025
  • RAS LINDI ATOA MAAGIZO 7 KWA MAAFISA MAENDELEO YA JAMII.

    December 04, 2025
  • NGOMA YA LIPUGA NGENDE

    December 04, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.