• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

RC LINDI - WAKULIMA MSIKUBALI KULANGULIWA

Posted on: May 19th, 2025


Mkuu wa mkoa wa Lindi Mhe. Zainab Telack amewataka wakulima mkoani Lindi kutouza mazao yao kwa njia ya ulanguzi na badala yake wanapaswa kuuza mazao yao kwa mfumo rasmi uliowekwa na serikali kwa kuwa upo utaratibu mzuri wa uuzaji wa mazao kupitia soko la ushirika litakalomsaidia mkulima kupata masoko ya uhakika ya kuuzia mazao

Mhe. Telack ametoa Wito huo  katika mkutano wa Jukwaa la Ushirika la Mkoa wa Lindi, akisisitiza hoja hiyo amesema seriikali kupitia sera ya mifumo kusomana imeendelea kuboresha mifumo ya upimaji wa mazao ambapo mazao ya wakulima yatapimwa kwa mizani ya kidigitali itakayomwezesha kupokea taarifa za kiwango cha mazao yake kupitia simu ya mkononi na fedha anayopaswa kulipwa hatua itakayoepusha Mkulima kuibiwa mazao yake.


Kwa upande wa Benki ya ushirika, Mhe. Telack ,ameitaka Benki ya hiyo kuingia kwenye Ushindani kwa kuwatembelea wakulima katika vyama vyao ili kujiongezea idadi ya wateja.


Katika hatua nyingine, ameviagiza vyama Vikuu na AMCOS Mkoani humo kufanya maandalizi  mapema ya msimu mpya wa zao la ufuta ikiwemo kuandaa vifungashio ili msimu utakapoanza uanze pasipo na changamoto wakati huo wakiendelea kuwahimiza wakulima kuepuka kuuza ufuta wao kwa walanguzi huku akiwaondoa hofu kuhusu bei za ufuta kwani kutokana na mifumo inayotumika sasa inaleta ushindani wa soko.


Aidha amewataka viongozi wa Amcos kuhakikisha mazao wanayoyapokelewa kutoka kwa wakulima yanazingatia ubora ili kulinda soko hasa la ufuta ambao siku chache zijazo minada inakwenda kuanza

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • RC LINDI - WAKULIMA MSIKUBALI KULANGULIWA

    May 19, 2025
  • RC ZAINAB TELACK MGENI RASMI JUKWAA LA MAENDELEO YA USHIRIKA 2025

    May 18, 2025
  • USHIRIKA LINDI YATEKELEZA MSINGI WA SABA KWA KUIGUSA JAMII YA GEREZA KUU LINDI

    May 18, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA LINDI APONGEZA MAANDILIZI MAZURI YA MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU MANISPAA YA LINDI

    May 17, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.