• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

RC SAWALA: LINDI MINING EXPO NI FURSA KUBWA KATIKA UKANDA WA KUSINI

Posted on: June 13th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Mhe. Kanali Patrick Kenan Sawala, amesema kuwa Maonesho ya Madini ya Lindi Mining Expo 2025 ni nguzo muhimu ya maendeleo kwa Ukanda wa Kusini, kutokana na mchango wake katika kuongeza uelewa, kuhamasisha ushiriki wa wadau, na kuvutia wawekezaji katika sekta ya madini.


Kauli hiyo ameitoa leo, tarehe 12 Juni 2025, wakati akifungua mafunzo ya kuongeza uelewa na ujuzi katika sekta ya madini kwa wadau wa madini mkoani Lindi, wakiwemo wachimbaji wadogo, ambao ni kundi mhimu katika mafunzo hayo.


Aidha, Kanali Sawala amesema kuwa Mkoa wa Lindi ni miongoni mwa mikoa mikubwa nchini yenye uzalishaji mkubwa wa madini, hivyo kupitia maonesho haya wananchi wa Lindi, mikoa ya jirani, na hata nje ya nchi wamepata fursa ya kujifunza, kujionea utajiri uliopo, na kuwekeza katika rasilimali hizo kwa manufaa ya kiuchumi.


“Mkoa wa Lindi ni miongoni mwa mikoa mikubwa kwenye nchi yetu inayozalisha madini kwa wingi, maonesho haya yamekuwa na faida kubwa kwa kuongeza uelewa kwa wanalindi, mikoa ya jirani, nchi kwa ujumla na hata nje ya nchi yetu, kwa kutoa fursa kwa wawekezaji kuwekeza Lindi na kujionea utajiri mkubwa unaopatikana. Hii inadhihirisha kuwa Lindi Mining Expo 2025 ni fursa kubwa kwa Ukanda wa Kusini,” amesea Kanali Sawala.


Vilevile, amesisitiza kuwa mashirikiano kati ya Mkoa wa Lindi na Mtwara yamekuwa na tija, kwani maonesho hayo yamewakutanisha wadau mbalimbali kutoka pande zote mbili, ikiwemo wachimbaji, wawekezaji na wataalamu wa sekta ya madini.


Kwa upande mwingine, amewahimiza wachimbaji wadogo kutumia maarifa watakayoyapata katika mafunzo hayo kuongeza tija na ufanisi, ili sekta ya madini iendelee kuwa kichocheo cha maendeleo ya kijamii na kiuchumi kwa mikoa ya Kusini na taifa kwa ujumla.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • DKT. KIRUSWA-LINDI IMEBARIKIWA KUWA NA MADINI YA KIMKAKATI.

    June 14, 2025
  • DKT. SAMIA APONGEZWA KWA KUBORESHA SEKTA YA MADINI NNCHINI

    June 13, 2025
  • RC SAWALA: LINDI MINING EXPO NI FURSA KUBWA KATIKA UKANDA WA KUSINI

    June 13, 2025
  • RC TELACK AONGOZA MBIO ZA RIDHAA RUANGWA AISISITIZA UMUHIMU WA MAZOEZI,LINDI MINING EXPO

    June 12, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.