• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

RC TELACK AONGOZA MBIO ZA RIDHAA RUANGWA AISISITIZA UMUHIMU WA MAZOEZI,LINDI MINING EXPO

Posted on: June 12th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mhe. Zainab Telack, ameongoza mbio za ridhaa za kilometa 5 zilizofanyika leo, Juni 12, 2025, wilayani Ruangwa, kama sehemu ya shamrashamra za maonesho ya madini na fursa za uwekezaji maarufu kama Lindi Mining Expo 2025.

Tukio hilo limehudhuriwa na wananchi kwa wingi, likiwavutia wakazi wa Ruangwa pamoja na wageni kutoka maeneo mbalimbali ya ndani na nje ya Mkoa wa Lindi. Mbio hizo zimechangia kuhamasisha ushiriki wa jamii katika shughuli za kimaendeleo, huku pia zikiashiria uzinduzi rasmi wa wiki ya maonesho hayo muhimu.


Akizungumza mara baada ya kumalizika kwa mbio hizo, Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mhe. Zainab Telack, ameeleza kuwa tukio hilo limeonesha mshikamano mkubwa wa jamii na linaakisi mwamko chanya wa wananchi kushiriki katika maendeleo ya Mkoa kupitia sekta ya madini.

“Mbio hizi ni mwanzo mzuri wa kuhamasisha ushiriki wa jamii katika maonesho haya makubwa ya madini, tunahitaji mshikamano wa wananchi, wawekezaji na wadau wote ili kuhakikisha rasilimali zetu zinawanufaisha watu wa Lindi na Taifa kwa ujumla.” Amesema Mhe. Telack

Kwa mujibu wa waandaaji wa maonesho hayo, mbio hizo zililenga kuunganisha jamii, sekta binafsi, na Serikali katika kujenga mshikamano na uelewa juu ya fursa za kiuchumi kupitia sekta ya madini. Washiriki wameonesha ari kubwa, huku baadhi yao wakieleza kufurahishwa na namna tukio hilo lilivyowapa nafasi ya kushiriki moja kwa moja katika maandalizi ya maonesho hayo.

Lindi Mining Expo 2025 inatarajiwa kufanyika kwa siku nne kuanzia Juni 11 hadi 14, ikiwa ni jukwaa mahsusi la kuonyesha raslimali za madini, kuhamasisha uwekezaji, na kuwakutanisha wadau mbalimbali wa maendeleo kutoka ndani na nje ya Tanzania

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • RC TELACK AONGOZA MBIO ZA RIDHAA RUANGWA AISISITIZA UMUHIMU WA MAZOEZI,LINDI MINING EXPO

    June 12, 2025
  • "TUJENGE TABIA YA KUFANYA MAZOEZI MARA KWA MARA ILI KUIMARISHA AFYA ZETU" RC TELACK

    June 12, 2025
  • MAONYESHO YA MADINI LINDI 2025 YAZINDULIWA RASMI NA MHE. KADUARA

    June 11, 2025
  • MAONESHO YA MADINI NI FURSA KWA WANANCHI WA LINDI NA TANZANIA KWA UJUMLA- RC TELACK

    June 11, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.