• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

RCC LINDI NA MAPENDEKEZO YA UTATUZI WA CHANGAMOTO YA WATUMISHI NA USAFIRI WA KIVUKO CHA KITUNDA.

Posted on: March 3rd, 2025

Kamati ya ushauri ya Mkoa wa Lindi (RCC) ikiongozwa na mwenyekiti wake Mhe. Zainab Telack ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi imeona changamoto kubwa ya watumishi wa umma katika sekta ya elimu na afya inayotokana na sababu ya kuhama na kubadilisha kada ya utumishi inavyoathiri utendaji na upatikanaji wa huduma .


Katika eneo la watumishi, kamati ya mkoa imeona kuna  umuhimu wa kuandaa utaratibu wa kupata watumishi wakujitolea ili kutatua changamoto hiyo.


"Tunafikiria pia utaratibu ule wa kuwa na watumishi wale waliomaliza ambao wanaweza kujitolea wakapata malipo kidogo kupitia kwenye halmashauri zetu, tunaendelea na mjadala nalo mwisho, tutatoka na wakurugenzi namna gani tunaweza kufanya ili wananchi waweze kupata huduma " Mhe. Zainab Telack.

Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa shughuli mbalimbali za serikali kwa kipindi cha 2023/2024 na Julai 2024 hadi 2025 katibu Tawala Msaidizi Mipango na uratibu Ndugu Juhudi Mgala ameeleza kuwa pamoja na jitihada kubwa za serikali  kuajiri walimu 952 katika kipindi cha miaka 3 , Mkoa umeendelea kuathirika na changamoto ya walimu kuhamia mikoa mingine na kubadilisha kada za kiutumishi .

Ndugu Mgala ametoa mfano kwa kipindi cha mwezi march hadi Desemba 2024 walimu 422 wamepata uhamisho kwenda nje ya mkoa na wengine kubadilisha kada ya utumishi.

Katika hatua nyingine kamati imeshauri TAMESA kuongeza muda wa usafirishaji wa kivuko cha kitunda , badala ya kuishia saa 12 jioni iongezeke muda angalau hadi saa 2 usiku .


"Meneja wa TEMESA angalia uwezekanao wa kuongeza muda wa usafirishaji katika kivuko cha kitunda " Mhe. Telack


Aidha, Mwenyekiti amewasisitiza wajumbe kuendelea kuweka nguvu katika uzalishaji wa mazao ya chakula na biashara kwani Mkoa unafanya vizuri katika mazao ya mbazi, ufuta  na korosho . Akitoa wito huo amewasisitiza kuendelea kutoa elimu ya matumizi sahihi ya fedha wanazozipata wananchi baada ya kuuza mazao yao ili ,ziweze kuleta tija katika maisha yao.

@ortamisemi

@maendeleoyajamii

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.