• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

SERIKALI YADHAMIRIA KUKOMESHA USAFIRISHAJI WA MAZAO GHAFI- DKT. JAFO

Posted on: August 8th, 2025


Lindi, Agosti 8, 2025 — Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jafo, amesema Serikali haitaendelea kuruhusu usafirishaji wa mazao ghafi nje ya nchi, kwani hatua hiyo inapoteza fursa nyingi za ajira kwa vijana na kudhoofisha uchumi wa Taifa.


Akizungumza katika hafla ya ufungaji wa Maonesho ya Nanenane Kanda ya Kusini kwenye Viwanja vya Ngongo mkoani Lindi, Dkt. Jafo amepongeza juhudi za Vyama vya Ushirika vinavyoongeza thamani ya mazao, hususan kwa kuanzisha viwanda vya ubanguaji wa korosho, akisisitiza kuwa hiyo ndiyo njia sahihi ya kulinda uchumi na kuongeza mapato kwa wakulima.

“Badala ya kuuza korosho ghafi, tunapaswa kuziongeza thamani hapa nchini ili vijana wapate ajira na wakulima wafaidike zaidi,” amesema Dkt. Jafo.

Waziri huyo amewataka wananchi wa Lindi na Mtwara kutumia maarifa na teknolojia walizojifunza kwenye maonesho hayo kwa vitendo, ili kuboresha uzalishaji na kuinua kipato chao, hatua itakayochangia ukuaji wa uchumi wa Taifa kwa ujumla.


Aidha, ameipongeza sekta ya fedha, hususan mabenki, kwa kutoa elimu na mikopo yenye riba nafuu isiyozidi asilimia 10 kwa wakulima, wavuvi na wafugaji. Pia, amewataka wataalamu wa Serikali kuwa chachu ya maendeleo badala ya kuwa kikwazo kwa wajasiriamali na wakulima.

Kwa upande mwingine, Dkt. Jafo amezitaka taasisi za SIDO na TBS katika mikoa ya Lindi na Mtwara kuhakikisha zinawasaidia wajasiriamali kukua kiuchumi kupitia kilimo, uvuvi na biashara ndogondogo.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YADHAMIRIA KUKOMESHA USAFIRISHAJI WA MAZAO GHAFI- DKT. JAFO

    August 08, 2025
  • DKT. JAFO AKOSHWA NA UBORA WA MAONESHO YA NANENANE KANDA YA KUSINI

    August 08, 2025
  • BIL 296 ZATENGWA KUKAMILISHA ZOEZI LA UCHANJAJI WA MIFUGO NCHINI

    August 07, 2025
  • TUJENGE TABIA YA KUTUMIA VYAKULA VYA ASILI NA MBEGU BORA

    August 06, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.