• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

SHULE YA SEKONDARI YA WASICHANA LINDI YAKABIDHIWA MIFUKO 100 YA SARUJI.

Posted on: March 10th, 2025

Katika kuunga mkono juhudi za Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan , Benki ya CRDB imekabidhi mifuko 100 ya saruji shule ya Sekondari Lindi Wasichana iliyopo kata ya Kilangala Jimbo la Mchinga Halmashauri ya Manispaa ya Lindi, kwaajili ya Ujenzi wa uzio shule hiyo.


Akiongea na wanafunzi wa shule hiyo  mara baada ya kukabidhi mifuko hiyo meneja wa CRDB kanda ya Kusini Bwana Denis Mwoleka amesema, saruji hiyo  ni muendelezo wa mambo mbalimbali ambayo yanafanywa na benki katika kurudisha Kwa Jamii.



Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Lindi Mhe. Victoria Mwanziva ambaye  mgeni rasmi katika Hafla hiyo ameishukuru CRDB benk Kwa kutoa mifuko hiyo ya saruji huku akiwasihii wanafunzi kuhakikisha wanasoma kwa bidii ili waweze kufanya vizuri kwenye masomo yao.


Akipokea mifuko hiyo ya saruji kutoka kwa meneja wa CRDB kanda ya Kusini Mstahiki Meya wa Manispaa ya Lindi Mhe. Frank Magali ameishukuru CRDB Kwa msaada huo ambao unakwenda kusaidia Ujenzi wa uzio Shule.



Sambamba na hilo Magali ameishukuru serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Dkt, Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kwa kazi kubwa na nzuri anayoifanya hasa Katika Manispaa ya Lindi Mkoa wa Lindi na taifa Kwa ujumla.


Lakini pia ametumia nafasi hiyo kumshukuru Mbunge wa Jimbo la Mchinga Mhe. Salma Rashidi Kikwete Kwa kazi anayoifanya katika kuhakikisha Jimbo hilo linapata maendeleo hususani ni kata ya Kilangala.


katika hatua nyingine katibu wa mbunge Jimbo la Mchinga Abdallah Mkokoi Kwa niaba ya mbunge wa Jimbo hilo ametoa kiasi Cha fedha shilingi laki tano Kwa Wanafunzi wa shule hiyo kwaajili ya kununua futari kwenye mwezi huu wa mfungo.


Ikumbukwe kuwa tarehe 09 Agosti 2024  benki hiyo chini ya meneja wake Kwa kanda ya Kusini ilikabidhi viti na meza 40 shuleni hapo ikiwa ni katika kusaidia kukuza na kuendeleza sekta ya Elimu .

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • VIJIJI VYOTE 523 LINDI VYAPATA UMEME

    May 06, 2025
  • UJENZI WA UDSM TAWI LA LINDI WAFIKIA 45%, RC TELACK APONGEZA NA KUSISITIZA KASI NA UBORA WA UJENZI

    May 05, 2025
  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.