• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

TAASISI ZA SERIKALI ZATAKIWA KUITUMIA TEMESA ILIYOBORESHWA.

Posted on: June 23rd, 2023

Hayo yamesemwa jana tarehe 22 Juni 2023 na Mhe. Shaibu Ndemanga, Mkuu wa Wilaya ya Lindi akimuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Lindi katika kikao cha wadau wa Wakala ya Ufundi na Umeme, TEMESA kilichofanyika kwenye ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Lindi.

Mhe. Ndemanga amezitaka mamlaka zote za Serikali kuendelea kutumia huduma za Wakala wa Ufundi na Umeme, TEMESA kwa kuwa taasisi hiyo imeboreshwa kwa kiasi kikubwa. 

Mhe. Telack amewaeleza wakuu wa taasisi waliohudhuria kikao hicho kuwa TEMESA ya sasa ina vifaa vizuri na huduma ya Karakana inayotembea (mobile workshop) ambayo inatolewa kupitia gari maalum lililotolewa na Serikali kwa ajili ya kuhudumia mikoa ya kanda ya Kusini, Lindi na Mtwara.

Aidha, Mhe. Ndemanga ameitaka taasisi hiyo pamoja na kufanya maboresho kwenye eneo la vifaa izingatie pia maboresho katika utendaji hasa eneo la utaalam wa utengenezaji wa vyombo vya usafiri.

Mhe. Ndemanga ameongeza kuwa maboresho hayo yaendane na ubora wa huduma inayotolewa jambo ambalo litaimarisha na kuongeza imani kwa wateja.

Akizungumza kwa niaba ya Mtendaji Mkuu wa TEMESA Ndg. Razaro Kilahala amesema kuwa kwa sasa changamoto zilizokuwa zikirudisha nyuma jitihada za TEMESA zimefanyiwa kazi na kurekebishwa ambapo tayari yamefanyika maboresho kwenye maeneo yote ikiwemo mfumo wa ununuzi wa vipuli utakaosaidia kuepuka na kudhibiti matumizi ya vipuli feki.

Awali akieleza mbele ya mgeni rasmi namna ya utoaji wa huduma kupitia Karakana inayotembea ( mobile workshop), Fundi Mkuu wa huduma hiyo kwa kanda ya pwani na Kusini Ndg. Mustapha Abdul amesema kuwa huduma ya mobile workshop inapatikana kwa masaa 24 na inamfuata mteja popote alipo.

Ndugu Mustapha ameongeza kuwa huduma hii inampungizia mteja gharama nyingi ikiwemo mafuta ya kuitoa gari ofisini na kuipeleka kwenye huduma ya matengenezo.

Kupitia maboresho yaliyofanywa na Wakala wa Ufundi na Umeme, TEMESA kunaondoa mashaka ya wateja kuhusiana na huduma zinazotolewa na taasisi hiyo ambapo itakuwa kivutio kikubwa si tu kwa taasisi za Serikali lakini pia hata kwa wateja binafsi wa vyombo vya usafiri

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.