• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

TUJENGE TABIA YA KUTUMIA VYAKULA VYA ASILI NA MBEGU BORA

Posted on: August 6th, 2025

Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais (Kazi maalum), Mhe. Capt. George Huruma Mkuchika ametoa wito kwa wananchi kujenga utamaduni wa kula vyakula vya asili na kutumia mbegu bora ili kypata matokeo mazuri.


Wito huo ameutoa mapema leo Agost 6, 2025  alipoungana na washiriki wa maonesho ya Nanenane kanda ya kusini katika hamasa ya matumizi ya mbegu za asili na ulaji wa vyakula vya asili.


Waziri Mkuchika ameitaka jamii kuhakikisha wanakula vyakula visivyo hatarishi kwa afya na badala yake  kupenda kula vyakula vya asili vyenye lishe bora ili kuweza kustawisha jamii.


Hili kupata matokeo makubwa zaidi Mhe. Kapten Mkuchika amewataka TARI kuona namna ya kupata mbegu bora ambayo inaweza kustahimili magonjwa na kuzalisha korosho bora  humu akiwataka wakulima kuzingatia kanuni za kilimo kutoka kwa wataalam ikiwemo aina za dawa na usafi wa shamba.


“Mikorosho ya siku hizi usipopuliza dawa unakosa korosho, tunamshukuru Rais Samia kwa kutupa pembejeo bure, tumeweza kuongeza uzalishaji wa korosho. Niwasihi wakulima wenzangu tupalilie mashamba kwa wakati, tusipalilie kwa moto.”Alieleza Mhe. Mkuchika .


Kwa upande wake Dkt. John Tenga , kaimu Mkurugenzi wa TARI Naliendele ameeleza namna ambavyo wamekuwa wakifanya jitihada kubwa katika kuboresha na kupata mbegu bora zenye matokeo chanya kwa mkulima.


“Tumekuwa tukiwashirikisha wakulima katika tafiti zetu, majibu anayotoa mkulima sisi tunaboresha na kutengeneza mbegu bora zinazompa mkulima tija.” Alieleza Dkt. John Tenga, Kaimu Mkurugenzi wa TARI-Naliendele .


Katika hatua nyingine Mhe. Kapten Mkuchikia amevitaka vyama vya Ushirika kuhakikisha mazao yanayozalishwa kanda ya kusini yanaingizwa katika mfumo wa stakabadhi ghalani (TMX) ili kumhakikishia soko mkulima

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YADHAMIRIA KUKOMESHA USAFIRISHAJI WA MAZAO GHAFI- DKT. JAFO

    August 08, 2025
  • DKT. JAFO AKOSHWA NA UBORA WA MAONESHO YA NANENANE KANDA YA KUSINI

    August 08, 2025
  • BIL 296 ZATENGWA KUKAMILISHA ZOEZI LA UCHANJAJI WA MIFUGO NCHINI

    August 07, 2025
  • TUJENGE TABIA YA KUTUMIA VYAKULA VYA ASILI NA MBEGU BORA

    August 06, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.