• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Government Communication
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

UJENZI WA BANDARI KILWA WAFIKIA 87.3%

Posted on: November 28th, 2025

UJENZI WA BANDARI KILWA WAFIKIA 87.3%

Leo Novemba 28, 2025, Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Balozi Dkt. Bashiru Ally Kakurwa, amefanya ziara ya ukaguzi wa maenndeleo ya mradi wa bandari ya kilwa, unaotekelezwa wilayani kilwa mkoa wa Lindi, katika ukaguzi huo Mhe. Balozi Dkt. Bashiru ameridhishwa na hatua mbalimbali za ujenzi wa Bandari hiyo, ambapo utekelezaji wake umefikia zaidi ya asilimia 87.3%. Hadi sasa, zaidi ya shilingi bilioni 199.3 ambazo ni fedha za ndani, tayari zimelipwa kwa ajili ya utekelezaji wa mradi huo.

Akizungumza baada ya ukaguzi, Mhe. Balozi Dkt. Bashiru amepongeza jitihada kubwa ambazo zimefikiwa katika utekelezaji wa mradi huo muhimu.

Katika hatua nyingine, Waziri huyo amewataka viongozi na wawakilishi wa wananchi, wakiwemo Baraza la Madiwani, kuweka mikakati madhubuti itakayowezesha wananchi kunufaika na uwekezaji mkubwa uliowekwa na Serikali.

Aidha, Baada ya bandari hiyo kukamilika Mhe. Balozi Dkt. Bashiru amezitaka mamlaka zitakazohusika na usimamizi wa bandari hiyo kutoa elimu elekezi kwa wananchi ili waweze kunufaika ipasavyo na fursa zitakazotokana na mradi huu.

Aidha, amepongeza wananchi wa Kilwa kwa kuupokea mradi huo kwa moyo mzuri na kuonyesha ushirikiano tangu kuanza kwa ujenzi wa bandari hiyo.

Akisisitiza ushiriki wa viongozi hao, alisema:

"Hatua hii iloyofikiwa kwa vyovyote vile kuna mchango wa baraza la madiwani, baraza la madiwani sasa likae mkao kupanga namna wananchi wa kilwa na wenyeji wa kilwa hasa vijana na akina mama watakavyonufaika na mradi huu." - Mhe. Balozi Dkt. Bashiru.





Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • KIKAO KAZI CHA MAAFISA MAENDELEO YA JAMII MKOA WA LINDI

    December 02, 2025
  • "SHINDA VIKWAZO IMARISHA MWITIKIO, TOKOMEZA UKIMWI."

    December 01, 2025
  • ZAIDI YA AJIRA 100,000 KUZALISHWA WILAYANI KILWA KUTOKANA NA MRADI WA MIHOGO

    November 29, 2025
  • UJENZI WA BANDARI KILWA WAFIKIA 87.3%

    November 28, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.