• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

UJENZI WA UDSM TAWI LA LINDI WAFIKIA 45%, RC TELACK APONGEZA NA KUSISITIZA KASI NA UBORA WA UJENZI

Posted on: May 5th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Zaina Telack @zainabutelacky ameridhishwa na hatua ya ujenzi wa Tawi la Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam kinachojengwa Ngongo- Ruangwa Lindi ambapo upande wa Ngongo ujenzi umefikia 45% na Ruangwa umefikia 36% .

Awali akiwasilisha taarifa ya ujenzi wa mradi huo Mhandisi wa mradi upande wa Mkandarasi Ndugu Ramadhan Ihimbilo  amesema kuwa ujenzi wa Tawi la Chuo kikuu cha Dar Es Salaam kinachojengwa Ngongo –Ruangwa Lindi hadi sasa umefikia 45% kwa upande wa Ngongo na upande wa Ruangwa umefikia 36%.

Mhe. Telack, akimsisitiza mkandarasi kuendelea kuzingatia kasi na ubora wa ujenzi amesema kuwa mradi huo ni maono ya Mh. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa wananchi wake wa mkoa wa Lindi ambao asilimia kubwa ya uchumi wao unategema kilimo na ndiyo maana hivi karibuni amezindua benki ya ushirika kwa ajaili ya wakulima.

Aidha Mradi huu kwa awamu ya kwanza unajumuisha ujenzi wa majengo Sita ya chuo kwa Ngongo na Majengo Matatu ya Chuo kwa Likunja na ujenzi huo unajumuisha miundombinu saidizi ikiwepo Barabara, maji na umeme.Mkataba wa utekelezaji wa mradi awamu ya kwanza ni wa miezi 18 na unatekelezwa na kampuni ya Shandong Hi- Speed Dejian Group Co. Ltd na mradi ulianza kutekelezwa tarehe 21/03/2024 naunatarajiwa kukamilika 19/9/2025. Mpangilio wa ujenzi wa Chuo - Tawi la Ngongo, Manispaa ya Lindi.


Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Lindi Mh. Victoria Mwanziva @victoria.mwanziva amemshukuru Mkuu wa Mkoa wa Lindi kwa ziara hiyo na kuahidi kutekeleza maelekezo yote ambayo ameyatoa ili kulete ufanisi wa mradi huo.


Kutokana na hatua hiyo , Mhandisi Ramadhani Mbonje amesema ujenzi unatarajiwa kukamilika kwa wakati .


Hadi sasa mradi huu umetumia Tsh Bil 4.1 katimya Bilioni 13..


@maelezonews

@ortamisemi

@owm_tz

@msemajimkuuwaserikali

@udsmofficial

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • VIJIJI VYOTE 523 LINDI VYAPATA UMEME

    May 06, 2025
  • UJENZI WA UDSM TAWI LA LINDI WAFIKIA 45%, RC TELACK APONGEZA NA KUSISITIZA KASI NA UBORA WA UJENZI

    May 05, 2025
  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.