• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

Usimamizi watakiwa katika zoezi la uboreshaji daftari la kudumu la wapiga kura.

Posted on: January 7th, 2020

Maafisa uandikishaji mkoa wa Lindi wataakiwa kusimamia zoezi la uboreshaji daftari la kudumu la wapiga kura.

Hayo yamesemwa na Kamishina Tume ya Taifa Uchaguzi, Jaji (Mst.) Thomas Mihayo wakati hakifungua mafunzo kwa wandikishaji yaliyo wausisha Afisa Mwandikishaji, Maafisa Waandikishaji Wasaidizi Ngazi ya Jimbo, Afisa Uchaguzi wa Halmashauri na Maafisa Tehama.

Jaji Mihayo amesema kuwa mafunzo hayo yanatolewa ili kuwawezesha washiriki kupata uelewa wa jukumu wanalokwenda kulitekeleza na ili na wao waweze kwenda kuwafundisha waliopo katika ngazi ya kata na tarafa.

Washiriki wametakiwa kuelewa maelekezo wanayopewa na kuhakikisha wanakuwa makini katika kusimamia utekelezaji wa zoezi hilo.

“Zoezi hili la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura ni la muhimu sana kwani ndio mchakato wa uchaguzi mkuu unaanza. Hivyo wataalam wote watakaohusika kusimami zoezi hilo wanapaswa kuwa makini na kulichukulia zoezi hilo kwa uzito unaostahili”, alisema Jaji Mihayo.

Pia alieleza kuwa uboreshaji huu wa taarifa katika daftari la kudumu la wapiga kura ni haki ya kila mwananchi ambaye ametimiza umri wa miaka 18 pamoja na vigezo vingine. Hata hivyo endapo mwananchi yeyote ambaye atakutana na kikwazo chochote wakati zoezi hili la uandikishaji likiendele anatakiwa kutoa taarifa kwa uongozi ili suala lake lishughulikiwe kwa wakati.

Kwa upande wa mawakala wa vyama vya siasa, Jaji Mihayo amesema kuwa wanayohaki ya kwenda kuona namna zoezi la uboreshaji daftarri linavyokwenda na kutoa maoni/malalamiko pale wanapoona mambo hayapo sawa lakini sio kuingilia mchakato wa zoezi lenyewe.

Naye Afisa Uandikishaji halmashauri ya Nachingwea, Hassan A. Rugwa amesema wamejipanga kuhakikisha zoezi hilo linaendeshwa kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu kama zilivyowekwa, na kwamba watahakikisha wale wote watakaojitokeza na wenye vigezo vinavyostahili wanajiandikisha/kuboresha taarifa zao katika daftari la kudumu la wapiga kura. Hivyo wananchi wametakiwa kujitokeza kwa wingi na kutumia fursa hiyo.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • NDG. NGUSA SAMIKE AKABIDHI OFISI KWA BI. ZUWENA OMARY.

    March 20, 2023
  • KAMATI YA BUNGE YASISITIZA UJENZI WA MRADI WA BANDARI YA UVUVI UMALIZIKE KWA WAKATI

    March 19, 2023
  • BALOZI WA ZIMBABWE NCHINI TANZANIA ATEMBELEA MKOA WA LINDI.

    March 14, 2023
  • MAAFISA UGANI LINDI WAKABIDHIWA PIKIPIKI.

    March 13, 2023
  • tazama zote

Video

Zambi aagiza kampuni za kukopesha fedha zichukuliwe hatua.
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi ( LIVE)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.