• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

VIJIJI VYOTE 523 LINDI VYAPATA UMEME

Posted on: May 6th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Zainab Telack amepongeza utekelezaji wa usambazaji huduma ya Nishati ya Umeme vijiji chini ya wakala wa usambazaji huduma hiyo REA kwa kufanikisha utekelezaji kwa asilimia Miamoja kwani vijiji vyote 523 vya Mkoa wa Lindi vimefikiwa na huduma ya umeme.


Awali akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa usambazaji umeme vijijini Mkoa wa Lindi , Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Mhe. Balozi Meja Jenerali (mstaafu), Jacob Kingu amesema kuwa REA imefanikiwa kufikisha huduma ya umeme katika Vijiji vyote 523 .

“Leo ni siku ya furaha sana kwetu na kwa Wananchi wa Mkoa wa Lindi. Mkoa wa Lindi una jumla ya Vijiji 523 na vijiji vyote sasa tumeshavifikishia huduma ya umeme. Hatuna deni na Wananchi wa vijiji vya Mkoa huu,” amesema Mwenyekiti Kingu.


Akizungumza wakati wa hafla hiyo iliyofanyika leo Mei 7, 2025 katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Mhe. Balozi Meja Jenerali (mstaafu), Jacob Kingu amesema kuwa REA sasa inaendelea na kupeleka umeme katika Vitongoji.


Ameongeza kuwa, Mkoa huo una jumla ya vitongoji 2406 na vitongoji 1481 tayari vimeshafikishiwa umeme huku vitongoji 442 wakandarasi wako wanaendelea na kazi.


Akizungumza mara baada ya kupokea taarifa ya Mwenyekiti wa REB, Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mhe. Zainab Telack amempongeza Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuridhia kutoa fedha zilizofanikisha mradi huo kukamilika kabla ya muda uliopangwa.


“Mhe. Rais anaendelea kuonesha nia yake ya kutamani kuwaletea maendeleo Watanzania. Tunapenda kumpongeza sana Mhe. Rais, Wakala wa Nishati Vijijini (REA) pamoja na Watendaji wote wa Serikali waliowezesha ndoto hii kutimia,” amesema Mhe. Telack.


Ameongeza kuwa, uwepo wa umeme vijijini licha ya kuboresha huduma za kijamii katika vijiji, utasaidia kuinua uchumi wa wananchi kwa kufanya shughuli mbalimbali zitakazowaongezea kipato.


Kwa upande wake Mkurugenzi wa Umeme Vijijini kutoka Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Jones Olotu amewaomba viongozi kuendelea kuwahamasisha wananchi kulinda miundombinu ya umeme kwa kuwa serikali imeto


Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • VIJIJI VYOTE 523 LINDI VYAPATA UMEME

    May 06, 2025
  • UJENZI WA UDSM TAWI LA LINDI WAFIKIA 45%, RC TELACK APONGEZA NA KUSISITIZA KASI NA UBORA WA UJENZI

    May 05, 2025
  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.