• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Government Communication
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

WAKULIMA WA MWANI LINDI WAPEWA MAFUNZO NA UMUHIMU WA KUJIUNGA NA USHIRIKA

Posted on: November 19th, 2025

WAKULIMA WA MWANI LINDI WAPEWA MAFUNZO NA UMUHIMU WA KUJIUNGA NA USHIRIKA.


Vikundi vinne vya wakulima wa zao la Mwani Halmashauri ya Mtama Mkoani Lindi wamepata mafunzo yanayohusu kilimo hicho na umuhimu wa kujiunga ushirika.


Mafunzo hayo ambayo yameratibiwa na Ofisi ya waziri Mkuu Sera bunge na uratibu yamefanyika Novemba 19, 2025 katika ukumbi wa Ofisi za CWT Mkoa wa Lindi.


Afisa Uvuvi Mkoa wa Lindi Ndugu Jumbe Kawambwa ambaye mgeni rasmi wa kikao kazi hicho amesema , mafunzo hayo yatakwenda kuleta tija kubwa sana kwa wakulima wa mwani Mkoani Lindi kwani faida za kujiunga na ushirika ni nyingi sana

"Kupitia mradi huu tunatarjia kuongeza vyama vinne vya ushirika ambavyo ni Mongomongo, Shuka, Mmumbu na Sudi kutoka halmashauri ya mtama ambao watakwenda kuona manufaa mengi ya kujiunga na ushirika ikiwemo kupata wadau na vifaa mbalimbali" Amesema ndugu Kawamba.


Kawamba ameongeza kuwa uwepo wa wadau na vyama vya ushirika kumesaidia sana kuongezeka kwa uzalishaji wa zao la mwani kutoka kilo Mia tisa hadi tani Elfu Tatu huku matarajio kufika tani elfu sita.


Aidha , ametoa wito kwa wakulima wa mwani kuendelea kujiandaa na kujiweka sawa katika kuiendea hatua hiyo kubw yenye manufaa.


Kwa upande wake Mratibu wa mafunzo hayo ndugu Godfrey Christopher ambaye ni mratibu wa viumbe maji katika mradi wa kuimarisha upatikanaji wa lishe kwa wakulima wadogo wa samaki na Mwani kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, amesema mafunzo hayo yanalengo la kuwajengea uwezo wakulima wadogo wa zao la mwani kutoka vijiji Vinne ambavyo ni Shuka, Mongomongo, Mmumbu na Sudi ambapo kila kijiji kimetoa wawakilishi watano na kufanya jumla ya wawakilishi 20.


"Lengo la mafunzo haya kuwajengea uwezo wakulima wadogo wa mazao ya mwani katika kujiandaa kujiunga na ushirika ili waweze kuona tija wa shughuli wanayoifanya " Ndugu Godfrey Mratibu.


Mafunzo hayo yamefanyika kwa siku saba ambapo wanufaika wameishukuru serikali kwa muongozo ambao wanaendelea kuutoa ili wananchi wake wanufaike na rasilimali zilizopo nchini katika kujiinua kiuchumi.





Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • WAKULIMA WA MWANI LINDI WAPEWA MAFUNZO NA UMUHIMU WA KUJIUNGA NA USHIRIKA

    November 19, 2025
  • WAKULIMA WATAKIWA KUJISAJILI NA KUUZA MAZAO KATIKA USHIRIKA.

    November 18, 2025
  • WAKULIMA WATAKIWA KUJISAJILI NA KUUZA MAZAO KATIKA USHIRIKA.

    November 18, 2025
  • MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKITANGAZA BARAZA LA MAWAZIRI NOVEMBA 17, 2025.

    November 17, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.