• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Maendeleo ya Jamii
      • Government Communication
      • Mawasiliano Serikalini
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

WAKULIMA WATAKIWA KUJISAJILI NA KUUZA MAZAO KATIKA USHIRIKA.

Posted on: November 18th, 2025

WAKULIMA WATAKIWA KUJISAJILI NA KUUZA MAZAO KATIKA USHIRIKA.

Katibu Tawala Msaidizi Uchumi na uzalishaji Mali Mkoa wa Lindi Ndugu Mwinjuma Mkungu ametoa wito kwa wananchi wa Mkoa wa Lindi kuona umuhimu wa kujisajili katika mifumo ya kiserikali ambayo inasaidia kupata takwimu sahihi zinazorahisisha kupata pembejeo kwa kiwango kinachohitajika. Wito huo ameutoa Novemba 18, 2025 katika hafla ya kupokea na kukabidhi mbegu bora za ufuta pamoja na kuzindua msimu mpya wa kilimo 2025/2026 katika viwanja vya Ngongo Manispaa ya Lindi.

 “Nitoe wito kwa wakulima wote, ni vizuri sasa kila mkulima kujisajili katika mifumo ya kiserikali na kuuza mazao yao katika ushirika ili kupata takwimu sahihi zitakazo rahisisha kupata pembejeo za ruzuku zinazoendana na uhalisia “ Ndugu Mkungu. 

Aidha, Mkungu ametumia fursa hiyo kuwahamasisha wananchi kuona umuhimu wa kulichukua zao la choroko kwa umuhimu mkubwa ambalo litaongeza mzunguko wa fedha na kipato kwa mkulima na serikali.


“ zao la Choroko ambalo limeshaanza kwa baadhi ya maeneo linapswa sasa kuongeza nguvu kulimwa katika maeneo yetu yote, kwa kufanya hivyo tutakuwa na mazao manne ya biashara katika mkoa wetu na hivyo kuongeza mzunguko wa fedha kwa mmoja mmoja na serikali “ Aliongeza Ndugu Mkungu . 

Ikumbukwe kuwa Mkoa wa Lindi unamazao makuu matatu ya kilimo ambayo ni korosho, Ufuta na Mbaazi ambayo yamekuwa yakiingizia fedha nyingi Mkoa wa Lindi.





Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • WAKULIMA WA MWANI LINDI WAPEWA MAFUNZO NA UMUHIMU WA KUJIUNGA NA USHIRIKA

    November 19, 2025
  • WAKULIMA WATAKIWA KUJISAJILI NA KUUZA MAZAO KATIKA USHIRIKA.

    November 18, 2025
  • WAKULIMA WATAKIWA KUJISAJILI NA KUUZA MAZAO KATIKA USHIRIKA.

    November 18, 2025
  • MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AKITANGAZA BARAZA LA MAWAZIRI NOVEMBA 17, 2025.

    November 17, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.