• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

WATAALMU WA KILIMO NA UFUGAJI LINDI WATAKIWA KUONGEZA UZALISHAJI WA MAZAO YA BIASHARA.

Posted on: October 18th, 2025



WATAALMU WA KILIMO NA UFUGAJI LINDI WATAKIWA KUONGEZA UZALISHAJI WA MAZAO YA BIASHARA. 

Wataalamu wa sekta za kilimo na ufugaji Mkoa wa Lindi wametakiwa kuongeza jitihada za kusimamia uzalishaji wa mazao ya biashara kama ufuta, choroko na korosho pamoja na uzalishaji wa mazao ya chakula ili kuhakikisha upatikanaji wa vyakula na kuinua vipato vya wananchi. Hayo yameelezwa na Katibu Tawala Msaidizi, Uchumi na Uzalishaji Ndugu. Mwinjuma Mkungu alipokua anafungua kikao kazi cha kujadili Mpango wa Maendeleo ya Kilimo Mkoa wa Lindi, kilichowakutanisha maafisa kilimo na ufugaji wa Halmashauri zote za Mkoa wa Lindi. “Tuna mabonde mengi mazuri kwa kilimo cha mazao ya bustani na mboga mboga ambayo wananchi wetu tunaowahudumia tukiwahamisha vizuri na wakajikita katika mazao hayo pia watajipatia tija ya uhakika wa chakula kwa ajiri ya familia zao hivyo fedha watakayopata kupitia mazao ya biashara ikiwemo korosho, ufuta na mbaazi zitatumika kuboreshea hali zao za maisha badala ya kutumia yote kununulia chakula” Aidha, ndugu. Mkungu amehimiza uanzishwaji wa mashamba darasa yatakayotumika kama mfano kwa wananchi kujifunza namna ya uzalishaji wa mazao ambayo hayakuwahi kulimwa kabla ikiwemo Alizeti sambamba na ushirikiano na taasisi nyingine za kilimo zinazojihusisha na utafiti wa mbegu bora za mazao ikiwemo TARI ili kuhakikisha wakulima wanapata mbegu bora zitakazoleta tija katika uzalishaji. Kikao kazi cha kujadili maendeleo ya kilimo katika Mkoa wa Lindi kimelenga kuangazia mwenendo wa uzalishaji wa mazao ya biashara pamoja na chakula kama sehemu ya kuboresha hali ya kimaisha ya wananchi kiuchumi.


Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • MIRADI YA MAENDELEO YA BIL 8 YAKAGULIWA LIWALE

    October 17, 2025
  • KILWA YANG’ARA NA MIRADI YA ZAIDI YA BIL 45

    October 18, 2025
  • WATAALMU WA KILIMO NA UFUGAJI LINDI WATAKIWA KUONGEZA UZALISHAJI WA MAZAO YA BIASHARA.

    October 18, 2025
  • RC LINDI ARIDHISHWA NA HATUA YA UJENZI WA BANDARI YA UVUVI KILWA

    October 15, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.