• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ATANGAZA KUTOGOMBEA TENA UBUNGE RUANGWA BAADA YA MIAKA 15 YA UONGOZI

Posted on: July 2nd, 2025

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ATANGAZA KUTOGOMBEA TENA UBUNGE RUANGWA BAADA YA MIAKA 15 YA UTUMISHI


Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Jimbo la Ruangwa, Mheshimiwa Kassim Majaliwa, leo Julai 2, 2025, ametangaza rasmi kutogombea tena nafasi ya ubunge wa jimbo hilo katika uchaguzi mkuu ujao, baada ya kulitumikia kwa kipindi cha miaka 15.


Akizungumza na wajumbe wa Kamati ya Siasa ya Mkoa wa Lindi na Wilaya ya Ruangwa, Mheshimiwa Majaliwa ametumia fursa hiyo kuwashukuru wananchi wa Ruangwa kwa kumuunga mkono na kushirikiana naye katika kipindi chote cha uongozi wake tangu mwaka 2010.


“Umefika wakati kwa mshikamano tulioujenga sasa ni wakati wa kutoa fursa kwa Wana-Ruangwa wengine wapenda maendeleo waweze kuunganisha nguvu hizi ili kaulimbiu yetu ya Ruangwa kwa Maendeleo Inawezekana iweze kusonga mbele zaidi,” amesema.


Aidha, ametoa wito kwa wajumbe wa Kamati ya Siasa ya Wilaya kuwapa ushirikiano wagombea wote watakaojitokeza kuwania ubunge wa jimbo hilo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), huku akisistiza umuhimu wa kudumisha mshikamano na utulivu wakati wa mchakato wa kisiasa.


Katika salamu zake kwa wananchi, Mheshimiwa Majaliwa amewasihi Wana-Ruangwa kuendelea kushikamana na kujitokeza kwa wingi kwenye mikutano ya kampeni, kusikiliza sera za wagombea, na hatimaye kuwachagua kwa kura za kutosha wagombea wa CCM, akiwemo Mgombea Urais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Mgombea Mwenza Dkt. Emmanuel Nchimbi.


Vilevile, ametumia nafasi hiyo kumshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na viongozi wakuu wa CCM kwa kumuamini na kumpa dhamana ya kulitumikia jimbo la Ruangwa kwa muda mrefu.


Mheshimiwa Kassim Majaliwa alichaguliwa kwa mara ya kwanza kuwa Mbunge wa Ruangwa mwaka 2010, na tangu wakati huo ameendelea kuwa mhimili wa maendeleo na mshikamano katika jimbo hilo kwa kipindi cha miaka 15.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • RC TELACK AONGOZA KIKAO CHA WADAU WA KOROSHO, ATOA PONGEZI KWA MAAFISA UGANI

    July 03, 2025
  • WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ATANGAZA KUTOGOMBEA TENA UBUNGE RUANGWA BAADA YA MIAKA 15 YA UONGOZI

    July 02, 2025
  • UJENZI WA CHUO KIKUU UDSM TAWI LA LINDI WAFIKIA 65%, DKT. KIKWETE APONGEZA

    June 30, 2025
  • MHE. DKT. KIKWETEARIDHISHWA NA HATUA YA UJENZI TAWI LA UDSM LINDI

    June 30, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.