• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

ZAIDI YA MILIONI 201 ZA UTEKELEZAJI WA MIRADI ZAOKOLEWA NA TAKUKURU LINDI

Posted on: May 23rd, 2025

Katika kipindi cha Januari hadi Machi 2025, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Lindi imeokoa kiasi cha zaidi ya Milioni 201 katika mradi wa ujenzi wa bandari ya Uvuvi Wilayani Kilwa pamoja na malipo ya wakulima wa ufuta Wilaya ya Lindi. 


Kwa mujibu wa Kaimu Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Lindi, Bwana. Justine Maingu ameeleza kwamba fedha hizo zimeokolewa kwa kufanya ufatiliaji wa miradi 6 ambayo iligundulika kuwa na mapungufu hafifu hivyo TAKUKURU Mkoa wa Lindi ikashauri mamlaka husika ili ziweze kufanya marekebisho ya mapungufu hayo. 


Bwana. Maingu amebainisha kuwa kufuatia ufuatiliaji huo TAKUKURU Mkoa wa Lindi ilibaini kuwa mradi wa Ujenzi wa Bandari ya Uvuvi Kilwa Masoko na kubaini Mkandarasi anayetekeleza mradi huo kutolipa ushuru wa huduma (Service Levy) kwa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa na kwamba kwa hatua zilizochukuliwa kiasi cha Shilingi 175,163,798.58 kiliokolewa na kuweza kulipwa kwa halmashauri ya Wilaya hiyo. 


Aidha,ameeleza kuwa kutokana na malalamiko ya wakulima wa ufuta kutoka Chama cha Msingi cha Ushirika cha Ruhokwe (Ruhokwe Amcos) kuhusu ubadhirifu wa fedha za mauzo ya zao hilo kwa msimu wa mwaka 2023/2024 uliofanywa na baadhi ya viongozi wa matawi ya chama hicho wamefanikiwa kuhakikisha kiasi cha Shilingi 26,265,830.00 kinarejeshwa na baadhi ya viongozi wa matawi. 


TAKUKURU Mkoa wa Lindi imeendelea kuwashukuru wananchi kwa ushirikiano wao wanaouonyesha kwa kutoa taarifa kuhusu viashiria vya uwepo wa vitendo vya rushwa na kuwataka kuendelea kutoa taarifa za vitendo vya rushwa hususan katika kipindi hiki cha kuelekea kwenye kampeni na Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025. 


Vilevile, Kaimu Mkuu wa TAKUKURU Lindi ameeleza kuwa Taasisi itaendelea kutumia mbinu za matumizi ya TEHAMA, na za ana kwa ana pamoja na utekelezaji wa Programu ya TAKUKURU Rafiki ili kuweza kuongeza uelewa na kubadili mtazamo wa wananchi katika kuzuia na kupambana na rushwa.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • KARIBU MWENGE WA UHURU MKOA WA LINDI

    May 24, 2025
  • MAAFISA HABARI TOENI UFAFANUZI DHIDI YA UPOTOSHAJI- MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • ZAIDI YA MILIONI 201 ZA UTEKELEZAJI WA MIRADI ZAOKOLEWA NA TAKUKURU LINDI

    May 23, 2025
  • KARIBU MWENGE WA UHURU MKOA WA LINDI

    May 26, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.