• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

BALOZI WA UTURUKI AFURAHISHWA NA FURSA ZA MKOANI LINDI

Posted on: November 10th, 2021

Jana Jumanne Balozi wa nchi ya Uturuki hapa Tanzania Mhe. Mehment Gu”lluoglu ametembelea Mkoani Lindi  akiambatana na wafanyabiashara kutoka Uturuki. Mhe. Balozi amefanya ziara ya siku moja Mkoani Lindi maalum kwa ajili ya kufungua fursa mbalimbali zilizopo hapa Tanzania, Mkoani Lindi na nchi ya Uturuki.

Katika kikao kifupi kilichofanyika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Lindi kilichowajumuisha viongozi wa mkoa, wilaya, kamati ya usalama mkoa na wafanyabiara kutoka nchini Uturuki Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Zainab R. Telack na Balozi. Mhe. Mehment  wote wawili waliwasilisha fursa zilizopo kwenye maeneo yao.

Mhe. Telack akizungumza na waandishi wa habari baada ya kikao kumalizika ameeleza kuwa mkoa umetangaza fursa zilizopo ndani ya mkoa ikiwemo  madini, mazao ya biashara ya ufuta na korosho, uvuvi, fukwe nzuri na fursa kubwa ya gesi asilia.

“Tumewaeleza kile ambaccho tunacho ndani ya mkoa wa Lindi…tuna madini, madini yote ukiacha almasi , dhahabu ambayo purity yake 98%, graphite ambayo ipo mkoa mzima, manganese, Uranium, Cobalt……. na vito vyote ambavyo mnavifaham vipo.”  Amesema Mkuu wa Mkoa.

Akionyesha kufurahishwa na fursa zilizopo mkoani  Lindi hasa zao la korosho na ufuta pamoja na mazingira ya Lindi kwa ujumla, Balozi. Mhe. Mehment amesema ziara hii imekuwa na tija katika kuiunganisha nchi ya Tanzania na Uturuki kupitia Nyanja ya biashara na uwekezaji.

Katika ziara yake Mhe. Balozi mkoani Lindi ametembelea na kijionea shughuli mbalimbali za kiuchumi kwenye ghala kuu la korosho BUKO, Mchinga, soko la samaki pwani ya NBC, Chuo cha Ufundistadi (VETA) pamoja na eneo la mradi wa gesi asilia, Likong’o.  

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.