• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

MIRADI 59 YA BILIONII 22.4 KUTEMBELEWA NA MWENGE WA UHURU 2025 MKOA WA LINDII

Posted on: May 26th, 2025

Mkoa wa Lindi umepokea mwenge wa Uhuru kutoka mkoa wa Mtwara ambapo kwa mkoa wa Lindi utakimbizwa km 999.7,kwa Halmashauri sita zilizopo mkoani huo.
Akizungumza leo Jumatatu Mei 26,2025 mara baada ya kuupokea Mwenge wa Uhuru, mkuu wa mkoa wa Lindi Mhe. Zainab Telack amesema kuwa miradi itakayo tembelewa na mwenge wa uhuru kwa mkoa wa Lindi ni miradi 59,yenye thamani ya Sh.22.4 Bilioni.
Telack ameendelea kusema kuwa miradi hiyo 19 itawekwa mawe ya msingi ,6 itazinduliwa na 34 itatembelewa na kuonwa.
"Mwenge wa uhuru utakimbizwa mkoani kwetu katika Halmshauri sita za mkoa wa Lindi ,na miradi yote itakayopitiwa na mwenge wa uhuru ni miradh 59 yenye thamani ya Sh.22.4Bilioni."amesema Telack
Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Lindi Victoria Mwanziva wakati akikabidhiwa mwenge wa uhuru kutoka kwa mkuu wa mkoa wa Lindi Zainab Telack amesema kuwa mwenge wa uhuru kwa Halmashauri ya Mtama utakimbizwa km 105 na itakagua ,kuona na kuzindua miradi 7 yenye thamani ya Sh.2bilioni.
"Tutakimbiza mwenge wa uhuru kwenye Halmashauri yetu ya Mtama umbali wa km 105na utazindua ,kuweka mawe ya msingi na kutembelea miradi 7 yenye thamani ya Sh.bilioni 2"amesema Mwanziva.
Mwanziva amewataka wananchi wa Halmashauri ya Mtama kujitokeza kwa wingi katika maeneo yao pindi mwenge wa uhuru ukiwa unapita.

"Niwaombe wananchi wa Halmashauri ya Mtama kujitokeza kwa wingi kwenye maeneo yetu ili kuulaki pindi mwenge wa uhuru ukiwa unapita ."amesema DC Mwanziva



Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • ITUO CHA AFYA PANGABOI KUONGEZA KASI YA UTOAJI WA HUDUMA ZA AFYA NACHUNYU

    May 27, 2025
  • MWENGE WA UHURU KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YENYE THAMANI YA BIL 2.7

    May 26, 2025
  • MIRADI 59 YA BILIONII 22.4 KUTEMBELEWA NA MWENGE WA UHURU 2025 MKOA WA LINDII

    May 26, 2025
  • MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU MKOA WA LINDI

    May 25, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.