• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

Wananchi wawakaribisha wawekezaji wa kilimo cha zao la mihogo.

Posted on: September 24th, 2019

Wananchi wawakaribisha wawekezaji wa kilimo cha zao la muhogo.

Wananchi wa  vijiji vya Mavuji na Migeregere wilayani Kilwa wameikaribisha kampuni ya Pan Tanzania Agriculture Development Limited kuwekeza katika kilimo cha zao la muhogo.

Wananchi hao licha ya kuwakaribisha na kuwapatia wawekezaji ardhi yenye ukubwa wa ekari elfu moja kwa ajili ya kilimo hicho cha muhogo, wameiomba serikali kuhakikisha inaisimamia kampuni hiyo ili itoe ajira nyingi kwa wananchi wa maeneo hayo ili uwekezaji huo uwe na tija kwao. Pia wameomba ufuatiliaji wa mara kwa mara wa matumizi ya ardhi hiyo ufanyike kwani kumekuwepo na tabia ya baadhi ya wawekezaji kutotumia ardhi kwa malengo yaliyokusudiwa au kukaa nayo bila kuitumia.

Mkuu wa mkoa wa Lindi, Mhe. Godfrey Zambi baada ya kushuhudia makubaliano yaliyofikiwa kati ya wananchi na kampuni ya Pan Tanzania Agriculture Development Ltd, aliwahakikishia wananchi kuwa wawekezaji hao wamefuata taratibu zote za kisheria zinazotakiwa kufuatwa na serikali imewaruhusu kufanya uwekezaji wa zao hilo hapa nchini.  

Zambi alisema kuwa kampuni hii tayari imeshaanzisha kilimo cha muhogo katika maeneo ya Handeni mkoani Tanga, hivyo lengo lake la kufika hapo ni kama wananchi wamekubali kuupokea uwekezaji huo katika maeneo yao ili serikali ya mkoa ikamilishe taratibu za kuwapatia ardhi uzalishaji uanze.

Aidha, mkuu wa mkoa amewatoa hofu wananchi hao kuhusu lugha ambazo zitatumika katika kuandaa mkataba wa uwekezaji ambapo zitatumika lugha tatu ambazo ni kichina, kiingereza na kiswahili ili kutoa fursa kwa watu wote ambao wanahusika katika makubaliano hayo ya uwekezaji kuelewa kile kilichoandikwa kwa urahisi na ufasaha.

Naye mwekezaji  kutoka katika kampuni hiyo, Madam Feng Yingdai  amewashukuru wananchi wa vijiji hivyo viwili kwa kuridhia na kuikaribisha kampuni yake ili iweze kufanya uwekezaji katika maeneo hayo. Pia ameahidi kutumia ardhi hiyo kuzalisha zao la mhogo ambayo itauzwa katika soko la dunia. Aidha, aliwahakikishia wananchi kuwa kampuni yake itatoa ajira kwa wananchi wengi wa maeneo hayo na nafasi chache za kitaalamu zaidi zitatolewa kwa watu wenye utaalamu huo.

Katika uwekezaji huo, wakulima binafsi watapata fursa ya kuuza mihogo yao (ambayo imekaushwa maarufu kama makopa) kwa kampuni kwani kampuni ina lengo la kuuza zaidi ya tani milioni mbili za mihogo mikavu kila mwaka. Pia amewatoa hofu wakulima kuwa mbegu watakayotumia ni aina ya kiroba kwani ndio mbegu iliyobora inayopendekezwa na wizara ya kilimo.

                                                 

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.