• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

KAMATI YA BUNGE YA LAAC YAITAKA SUMA JKT KUONGEZA NGUVU KATIKA UJENZI WA OFISI YA HALMASHAURI YA MTAMA

Posted on: March 22nd, 2023

Kamati ya Kudumu ya Hesabu za Serikali ya Mitaa Leo Jumanne imeagiza kuongeza idadi ya wafanyakazi ili kumaliza mradi wa ujenzi wa Ofisi za Halmashauri ya Mtama Kwa wakati uliopangwa.

Maelekezo hayo yametolewa na Kamati hiyo Leo Jumatano ilipotembelea ujenzi wa mradi wa Ofisi hiyo unaotekelezwa na Mkandarasi SUMA JKT kanda ya Kusini.

Akizungumza mbele ya wajumbe wa Kamati hiyo, Viongozi kutoka OR- TAMISEMI,  Viongozi wa Mkoa, Wilaya na Viongozi wengine, Menyekiti wa  Kamati hiyo Mhe. Halima Mdee (Mbunge) amewataka SUMA JKT kuongeza nguvu kwenye mradi huo ikiwemo kuongeza wafanyakazi ili kuongeza Kasi ya  ujenzi wa mradi. Mhe. Mdee ameongeza kuwa muda alioongezewa  mkandarasi kumaliza mradi umebaki mchache hivyo anapaswa kutumia nguvu ya ziada ili kuendana na muda.

Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Zainab Telack ametoa wito kwa Mkandarasi SUMA JKT anaejenga mradi huo kufanya kazi Kwa mujibu wa makubaliano na kuhakikisha unamalizika kwa wakati uliopangwa.

Aidha, Msimamizi wa ujenzi wa mradi huo, Kop. Laurent Marwa ameleeza kuwa kuchelewa kwa mradi huo ulitokana na Halmashauri kubadilisha mchoro wa ramani pamoja na mvua. Kop . Laurent Marwa ameongeza kuwa mpaka kufikia mwezi Julia 2023, ujenzi wa mradi utakuwa umekamilika kwa asilimia 100 kama ilivyopangwa.

Mradi huu wa ujenzi wa Ofisi ya Halmashauri ya Mtama unajengwa na Mkandarasi SUMA JKT kwa thamani ya Bilioni 3.7 ambapo mpaka Kamati ya Kudumu ya Bunge inautembelea umefikia umefikia asilimia 60 na mwezi  Julai 2023 unatakiwa umalizike.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.