• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

KAMBI YA MADAKTARI BINGWA 50 WA DKT SAMIA YAZINDULIWA RASMI MKOANI LINDI.

Posted on: May 7th, 2024

Jopo la Madaktari Bingwa na Bingwa Bobezi 50 kutoka Hospitali za Rufaa na Kanda ya Kusini-Mtwara wanaounda Kambi Rasmi ya Daktari Samia Ukanda wa Kusini Mashariki wamepiga Kambi katika Hospitali ya Rufaa ya Sokoine na kutoa huduma za afya za kibingwa kuanzia Jumatatu, Mei 06, hadi Ijumaa Mei 10, 2024.

Akitoa tathmini ya kambi hiyo wakati wa ufunguzi rasmi, Daktari Alexander Makalla, Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Lindi Sokoine ameeleza kuwa Madaktari bingwa na bobezi hao wanatoka katika Hospitali mbalimbali zilizopo nchini ikiwemo hospitali za Rufaa ya Sokoine RRH, Ligula RRH, hospitali za rufaa za Mkoa wa Dar es Salaam kama Amana, Mwananyamala, Temeke, Hospitali ya Taifa ya Muhimbili pamoja na Hospital ya Kanda ya Kusini na watatoa huduma za kibingwa katika maeneo yanayohusu Afya ya kinywa na meno, afya ya akili, magonjwa ya wanawake na uzazi, magonjwa ya ndani, magonjwa ya mifupa, magonjwa ya mfumo wa mkojo, pamoja na mfumo wa pua, koo na masikio.

"Kambi hii inajumuisha Madaktari Bingwa na Wabobezi 54 ambao kwa pamoja wanaunda kambi rasmi ya madaktari bingwa wa Daktari Samia, Kambi hii iliundwa rasmi kwa lengo la kuhakikisha wananchi wanapata huduma za afya za kibingwa katika maeneo waliopo hivyo kuwapunguzia gharama za kusafiri umbali mrefu kufuata huduma hizi za afya za kibingwa" Ameeleza Dkt. Makalla.

Mhe. Shaibu Ndemanga, Mgeni rasmi katika uzinduzi rasmi wa kambi ya madaktari bingwa wa Daktari Samia amesifu na kutoa shukrani za dhati kwa Serikali ya awamu ya sita chini yake Daktari Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa jitihada zake za kuhakikisha huduma za afya hususani za kibingwa zinasogezwa na zinawafikia wananchi na wahitaji katika maeneo yao.

"Ili kuwafikia wananchi wengi na kuboresha huduma za afya, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Lindi kwa kushirikiana na Ofisi ya Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa Sokoine- Lindi itatoa huduma ya kumuona daktari bingwa bure kwa wagonjwa wasio na bima ambapo watahitajika kuchangia kiasi kidogo kama atahitajika kupata huduma nyingine ikiwemo vipimo, upasuaji na dawa, kwa mgonjwa anaetumia bima basi ataendelea kupata matibabu kwa kutumia bima yake bila kutoa au kuongeza kiasi chochote cha fedha"

Aidha, Mhe. Ndemanga ameeleza kwa kuzingatia kauli ya MTU NI AFYA, serikali itaendelea kuboresha huduma za afya kwa kuboresha miundombinu ya utoaji huduma za afya kwa kuongeza vituo vya kutolea huduma za afya, ununuzi wa madawa na vifaa tiba ili kuendelea kuboresha na kuwekeza katika afya ya wananchi.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.