• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

Kayombo: Maandalizi ya mtihani wa taifa wa darasa la saba 2019 yakamilika mkoani Lindi.

Posted on: September 5th, 2019

Kayombo: Maandalizi ya mtihani wa taifa wa darasa la saba 2019 yakamilika mkoani Lindi.

Afisa elimu wa mkoa wa Lindi, Ndg. Vicent Kayombo amehakikisha kukamilika kwa maandalizi ya mitihani ya taifa wa darasa la saba inayotarajiwa kuanza kesho Septemba 11, 2019 nchi nzima.

Katika maelezo yake Ndg. Kayombo amesema mkoa umejipanga vizuri kuendesha mitiani hiyo, ambapo baada ya kupokea maelekezo maelekezo kutoka baraza la mitihani la taifa mkoa ulichukua hatua zote muhimu kuhakikisha mitiani hiyo inafanyika vizuri bila tatizo lolote. Pia kamati ya mitihani mkoa imejipanga na kutoa maelekezo kwa kamati zote  za kata, wilaya na halmashauri za mkoa kuhakikisha mitiani hiyo inafanyika kiusalama.

Aidha, ameeleza jitihada mbalimbali zilizofanywa na mkoa katika kuwaandaa watahiniwa ili kuongeza ufaulu kuwa ni pamoja na kuwa na vituo vya mada ngumu katika kata zote ndani ya mkoa ambapo watahiniwa waleweza kukusanywa pamoja na kufundishwa. Pia kupitia vipimo mbalimbali vya mitiani kama Mock wilaya na Mock mkoa na baadae mkoa uliendesha mtiani maalum wa Pre-National mwezi Julai miezi miwili kabla ya mtiani wa Taifa na kupata ufaulu wa 86.1%. Hivyo mkoa ulipata miezi miwili ya ziada kufanya marekebisho kwenye madhaifu na makosa mbalimbali yaliyoonekana kwa watahiniwa wetu.

Kadhalika na hayo ndg. Kayombo ametoa pongezi kwa walimu na wazazi kwa kuonyesha ushirikiano katika kipindi chote cha maandalizi ikiwa ni pamoja na kuwapa mafunzo mbalimbali na kuhakikisha uwepo wa chakula katika vituo vyote vya madangumu na kuwataka kuendeleza ushirikiano huo katika kipindi hiki cha mitihani.

“Niwaombe baadhi ya wazazi kuacha ile tabia ya kuwataka wanafunzi kufanya vibaya kwa makusudi katika mitiani yao kwani serikali kwa sasa inatoa elimu bure lakini pia wapo wafadhili mbalimbali ambao wanajitolea kusomesha wanafunzi wetu”, Alisisitiza Ndg. Kayombo.

Pia,Afisa huyo wa Elimu Lindi amewatakia kila la kheri wasimamizi huo na kuwataka wasimamie kwa kufuata sheria za usimamizi mitiani pamoja na kuwasihi watahiniwa wote kuwahi kufika katika vituo vyao vya mitihani ili kuepuka usumbufu utakaowasababisha kufanya mitiani yao kwa presha. Jumla ya wanafunzi 18,458 wakiwemo wavulana 8,720 na wasichana 9730 wanatarajiwa kufanya mtihani huo.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.