• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

Kilwa kupiga chapa ng'ombe 40,000 kwa siku 20

Posted on: January 10th, 2018

Kilwa kupiga chapa ng’0mbe 40,000 kwa siku 20

Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa imejipanga kupiga chapa ng’ombe elfu arubaini katika siku 15 ili kutekeleza agizo la serikali ambalo mwisho wa utekelezaji ni tarehe 31 January, 2018.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kilwa, Ndg. Zablon Bugingo aliyasema hayo mbele ya Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega alipoulizwaa kama halmashauri itaweza kutekeleza agizo hili kwa wakati.

Halmashauri ya Kilwa ilikuwa bado haijaanza kutekeleza agizo la upigaji chapa mifugo kutokana na changamoto ya kifedha lakini walikuwa wanaendelea na utoaji elimu kwa wafugaji juu ya umuhimu wa zoezi hili pamoja na ufugaji bora wa kisasa. Pia halmashauri imeshakamilisha taratibu zote zinazoitajika kwa ajili ukamilishaji wa zoezi hili hivyo halitakwama.

Ndg. Bugingo alisema kuwa halmashauri imeshatoa elimu kwa wataalam 34 wa mifugo ambao kwa sasa wameshapelekwa katika vijiji ambavyo kumewekwa vituo kwa ajili ya upigaji chapa na zoezi hili limeanza leo tarehe 10 Januari, 2018. 

“Mhe. Naibu Waziri halmashauri ya Kilwa tumejipanga kuhakikisha kuwa kwa siku hizi zilizobaki tunatekeleza agizo la serikali la upigaji chapa ng’ombe wote elfu arubaini na tutahakikisha mifugo hii haipati madhara yoyote yale wakati wa utekelezaji wa agizo hili”, alisema Ndg. Bugingo.

Katika kukagua utekelezaji wa agizo hili, Mhe. Ulega alitembelea moja ya kituo cha upigaji chapa kilichopo katika eneo la magereza ambapo alikuta zoezi hili likiwa linaendelea na tayari ng’ombe tisini walikuwa wameshapigwa chapa.

Vilevile Mhe. Ulega azungumza na wananchi wa Mji Mdogo wa Kivinje, kijiji cha Matandu na Marendego ambapo katika vijiji vyote hivyo aliwaeleza wananchi juu ya umuhimu wa zoezi la upigaji chapa ng’ombe na kwamba ni zoezi lililopo kisheria. Pia aliwasihi kuendelea kutunza mazingira na kuhakikisha wanapambana na uvuvi haramu ili mazingira ya bahari yaendelee kuwa salama.  

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.