• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

KIONGOZI WA MWENGE WA UHURU AZINDUA DARAJA LA MILOLA-NANGALU

Posted on: April 13th, 2023

Kiongozi wa Mwenge wa Uhuru Leo asubuhi amezindua daraja lililojengwa barabara ya Milola-Nangalu lililojengwa kwa fedha za tozo za mafuta.

Kiongozi wa mbio za Mbio za Mwenge Ndg. Abdalla Shaib Kaim Akizungumza na wananchi  pamoja na Viongozi wa Wilaya na Manispaa ya Lindi amewataka  Viongozi kusimamia ujenzi wa barabara ya Milola-Nangaru ikamilike mapema ili wananchi wanufaike na miundombinu inayojengwa na Serikali yao.

Akimshukuru kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kwa kufika Jimbo la mchinga, Mbunge wa Jimbo hilo Mhe.Salma Kikwete amesema kuwa kazi kubwa ya Mwenge wa Uhuru ni kuimulika miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Serikali pamoja na wadau mbalimbali.

Mhe. Salma Kikwete ameeleza adha waliokuwa wanaipata wananchi wa Kata ya Milola na Nangalu Kwa kukosa Mawasiliano kwa zaidi ya miaka 15. Ameongeza kuwa kufunguka kwa Mawasiliano Kati ya Kata hizo kutafungua fursa mbalimbali  na kuongeza uchumi wa wananchi wa Pande zote mbili na maeneo mengine jirani.

Mhe. Salma Kikwete ameongeza kwa kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan na Serikali yake kwa kulipatia Jimbo la Mchinga fedha nyingi za miradi ya maendeleo ambazo zimesaidia kutatua changamoto nyingi za wananchi.

Akisoma taarifa ya mradi wa daraja hilo, Meneja wa TARURA Vijijini Eng. Dawson Paschal amesema kuwa ujenzi wa mradi huo umekamilika kwa asilimia 100 tangu tarehe 09 Desemba 2022 huku ukigharimu kiasi cha fedha jumla ya Tsh. 778,665,000.00.

Eng. Dawson ameongeza kuwa kukamilika kwa daraja hilo na barabara kutawawezesha wananchi kusafirisha mazao ya na bidhaa za Biashara kirahisi na kuokoa muda.

Pamoja na kukamilisha ujenzi wa daraja hilo, Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini,TARURA wanaendelea na ujenzi wa barabara ya Milola - Nangalu.





Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.