• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

KITUO CHA AFYA NARUNGOMBE KUANZA KUTOA HUDUMA OKTOBA 1.

Posted on: September 28th, 2022

 Kituo cha afya Narungombe kilichopo katika Halmashauri ya wilaya ya Ruangwa kinatarajiwa kuanza kutoa huduma za afya kwa wagonjwa wa nje (OPD) kuanzia Oktoba 1, 2022 baada ya kukamilisha kikamilifu ujenzi wa majengo matatu ya awali ambayo yanajumuisha sehemu ya wagonjwa wa nje, maabara na kichomea taka.

 Gladness Mwaindosa, Mganga mfawidhi katika zahanati ya Narungombe ameeleza kuwa kufunguliwa kwa kituo hiko cha afya kunaenda kuleta afueni ya upatikanaji wa huduma za afya kwa watu wapatano 3500 waliopo katika kata ya Narungombe ambao kwa muda mrefu walikua wanapata huduma za afya katika zahanati iliyopo katika eneo hilo na muda mwingine walipaswa kusafiri hadi Ruangwa kupata huduma hizo.

“Kwa mwanzoni watu walikua wanapata shida sana hasa kukiwa na mama mjamzito sababu inabd gadi mpate msaada wa gari ili akapate huduma ya kujifungua Ruangwa, lakini kwa sasa hivi tunashukuru kwakua kituo chetu kikikamilika kabisa tutakua na huduma zote hapa ikiwemo huduma za upasuaji. Hakutakua tena na ulazima wa mtu kuingia gharama za kusafiri kutoka hapa kwenda Ruangwa”ameongeza.

 Naye, bwana Omary Rajabu , mwananchi na mkazi wa Narungombe ameeleza  kuwa mradi wa ujenzi wa kituo cha afya umeweza kwanza kumnufaisha yeye binafsi kama mkazi wa kata hiyo kwa kumpatia ajira.

“Mradi huu umeninufaisha mimi binafsi kama fundi kwa kunipa ajira na kuniongezea kipato, kama tujuavyo sasa hivi ajira zimekuwa ngumu hivyo uwepo wa mradi huu umenifanya mimi kupata ajira hapa ya ujenzi ambao umenifanya nipate kipato mimi na wenzangu ambao wengine pia sio wakazi wa hapa lakini wote tunafanya kazi hapa na tunapata pesa ya kuendeshea maisha yetu.” Ameeleza.

Katibu Tawala mkoa wa Lindi, Ndg. Ngusa Samike ameupongeza uongozi wa Halmashauri ya Ruangwa kwa usimamizi thabiti wa kituo hiko cha afya na kuagiza kuendelea kwa kasi hiyo katika majengo mengine mapya ambayo yameongezewa ikiwemo Jengo ya upasuaji, wodi za wagonjwa na jengo la kufulia.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.