• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

LINDI YAPOKEA FEDHA BIL 23 KWAAJILI YA MIUNDOMBINU YA ELIMU

Posted on: July 10th, 2024

Katibu Tawala Mkoa wa Lindi Bi. Zuwena Omary akizungumza katika kikao cha baraza la Chama Cha Walimu Mkoa wa Lindi, amesema kuwa licha ya Serikali kuendelea kulipa na kutoa stahiki za watumishi wakiwemo walimu , serikali imeiletea fedha nyingi Mkoa wa Lindi kwaajili ya miundombinu mbalimbali ya elimu , kiasi cha Bil 23.

Fedha hizo zinamchanganuo ufuatao,  Bil 4.3 za Boost zitajenga shule mpya 7 za msingi , ukarabati wa shule 5 za msingi, Matundu ya Choo 114 na madarasa 54, Fedha Bil 16.07 za SEQUIP zitajenga Shule 1 ya wavulana ya kanda, shule za kata 6 , Shule ya Amali Mkoa 1, Shule 7 za Amali Wilaya, Nyumba za walimu 9, Madarasa 18, , Mabweni 11, Vyoo 52, fedha za EP4R Bil 2.1 zitamalaizia Mabweni 13 na kujenga mabweni mapya 12 na Milioni 806 za BARRICK zitajenga madarasa 11, Mabweni 4 na vyoo 18.Sambambao na fedha hizo Bi. Zuwena ametumia fursa hiyo kutoa wito kwa wasimamizi wote wa fedha hizo kuzingatia matumizi sahihi kwa mujibu wa utaratibu na muongozo bila kusahau ushirikishaji wa jamii katika utekelezaji wa mradi katika eneo husika.Aidha, ameshukuru uongozi wa CWT Mkoa kwa mwaliko wao na wasilisho la changamoto za walimu,  amewasihii kuendelea kuwa nasubira kwani serikali ya awamu ya sita inaendelea kuchukua hatua za makusudi kumaliza changamoto hiyo " kwa mwaka huu pekee fedha zaidi ya bil 1.19 zimelipa madeni mbalimbali ya watumishi wa Mkoa wa Lindi " Katibu Tawala alieleza.Kwa upande wake katibu wa  chama cha walimu Mkoa wa Lindi Bi. Sekela Msagala amemshukuru sana mgeni rasmi kwa kuitikia wito na kupokea changamoto za walimu kama vile madai ya watumishi yakiwemo  fedha za uhamisho na Likizo.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.