• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

MAAFISA UGANI 150 MKOANI LINDI WAPATIWA MAFUNZO YA KUONGEZA UZALISHAJI WA ZAO LA KOROSHO KUPITIA PROGRAMU YA BBT.

Posted on: January 13th, 2025

Katika kufikia lengo la Serikali inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania la kuhakikisha uzalishaji wa mazao ya kimkakati unaongezeka ikiwemo zao la Korosho, Bodi ya korosho Tanzania (CBT) imetoa mafunzo ya kuwajengea uelewa vijana kupitia program ya jenga kesho iliyobora (BBT) ili kuweza kufikia malengo ya Serikali kuzalisha Tani Milion 1 ifikapo 2030 .


Hayo yameelezwa na Katibu Tawala Msaidizi sehemu ya uchumi na uzalishaji mkoa wa Lindi Ndugu Ramadhani Khatibu wakati wa ufunguzi wa mafunzo ambayo yatafanyika kwa muda wa siku Tano.


 "Mafunzo wanayoyatoa Bodi ya korosho ni kuwajengea uwezo maafisa kilimo katika kusimamia pembejeo,viwatilifu pamoja na kwenda kufufua mashamba pori ilikuweza kuongeza tija ya uzalishaji wa zao la korosho."Amesema Khatibu


Kwa pande wake mwakilishi kutoka bodi ya korosho George Nyaga amesema kuwa lengo la Serikali ifikapo 2030 uzalishaji uongezeke kufikia Tani Milioni moja, ambapo kwasasa korosho inayozalishwa nchini imefikia Tani laki 4.


Nyaga amesema kuwa kupitia programu ya BBT bodi ya korosho imeweza kuajiri vijana ambao ni wataalamu wa kilimo 500 na kuwapa mafunzo ambayo yatawasaidia wakulima walime kisasa na kuongeza uzalishaji wa zao la korosho, moja ya jukumu kubwa ambalo wanakwenda kuanza nalo ni kuisaidia bodi ya korosho kupata kanzu data ya wakulima na kwenda kufufua mashamba pori.


 "Bodi ya korosho kupitia program ya BBT tumeweza kuajiri vijana 500 na kuwapeleka katika mikoa ambayo inazalisha korosho kwa wingi,ikiwemo Lindi,Mtwara,Pwani,Ruvuma na Tanga."Amesema Nyaga.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.