• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

Mhe. Patrobas Katambi: Ongezeni jitihada za kupambana na UKIMWI

Posted on: November 29th, 2022

Naibu Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana , Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Patrobas Katambi ameyasema hayo alipokuwa mgeni rasmi  katika kongamano la kisayansi  lililofanyika jana Mkoani Lindi katika Ukumbi wa Hoteli ya Sea View likiwa na lengo kuu la kuungana  jamii katika kutafakari na kubadilishana mawazo, uzoefu pamoja na mbinu mpya za kisayansi za kupambana na janga la UKIMWI.

Mhe. Katambi  amesema kuwa pamoja na mafanikio makubwa tuliyoyapata katika mapambano dhidi ya UKIMWI nchini bado zinahitajika jitihada zaidi kwenye baadhi ya maeneo ikiwemo kuzuia Maambukizi ya VVU kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto pamoja na tiba kwa watoto chini ya miaka 5. Ameongeza pia kuwa kundi kubwa la vijana wanapoingia kwenye mahusiano mapya hutumia kinga mwanzo wa mahusiano hayo lakini baada ya muda kupita matumizi ya kinga huwa hayazingatiwi.

Hivyo Mhe. Katambi amewataka wataalam wa kisayansi, watoa huduma na jamii kwa ujumla kuungana kwa pamoja katika mapambano dhini ya UKIMWI kwenye makundi ya jamii ambayo yako nyuma kufikiwa na huduma za VVU  na UKIMWI.

Awali akizungumza mbele washiriki wa kongamano hilo, Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Ndg. Kaspar Mmuya akizungumza kwa niaba ya Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu amesema kuwa mafanikio yaliyopatikana yametokana na jitihada kubwa za asasi za kiraia kwa kushirikiana na Wizara za Kisekta, hivyo amewataka wadau hao kuendelea kuunganisha nguvu katika mapambano dhidi ya UKIMWI ili kufikia malengo.

Kwa upande wa wadau, Shirika lisilo la Kiserikali la icap ambalo linafanya kazi Mkoa wa Mwanza katika kupambana na UKIMWI kupitia shughuli mbalimbali ikiwemo kufanya utafiti wa hali ya maambukizi. Akizungumza kwenye maonesho yanayoendelea katika kiwanja cha Ilulu Mratibu wa Mawasiliano na Uhamasishaji Jamii chini ya icap Bi. Mwanaidi Msangi  amesema kuwa utafiti wa Viashiria na Matokeo ya UKIMWI Tanzania hufanyika kila baada ya miaka mitano ambao unasimamiwa na Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania, TACAIDS pamoja na Tume ya Kudhibiti UKIMWI Zanzibar, ZAC, Ofisi ya takwimu Tanzania na Zanzibar, TAMISEMI, Wizara ya Afya pamoja na wadau wengine chini ya ufadhili wa Marekani . Bi. Mwanaidi ameongeza kuwa kwa mwaka 2022/23 utafiti umelenga kuwafikia watu zaidi ya 40,000, kaya 20,000 ambao watapimwa VVU, Homa ya ini B na C.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.