• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

MHE. TELACK ARIDHISHWA NA MAANDALIZI YA MIRADI INAYOTARAJIWA KUPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025 RUANGWA

Posted on: April 4th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mhe. Zainab Telack, ametembelea na kukagua Miradi mbalimbali inayotarajiwa kupitiwa na Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka huu wilayani Ruangwa, ambapo ameonesha kuridhishwa na maendeleo yake.

Miradi hiyo inajumuisha ujenzi wa Barabara ya Mwilahi yenye urefu wa mita 650 katika Kijiji cha Likangara wenye thamani ya zaidi ya Tzs Milioni 513, Mradi wa Dampo Salama wa kikundi cha vijana wa usafi wa mazingira katika Kijiji cha Lipande wenye thamani ya Tzs Milioni 15, na Ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa na Ofisi moja katika Shule ya Msingi Dodoma, Kata ya Nachingwea wenye thamani ya Tzs Milioni 48.

Aidha, Miradi mingine inayotarajiwa kupitiwa na Mwenge wa Uhuru ni pamoja na:

Mradi wa Maji wa Kijiji cha Mpara, Kata ya Likunja, unaohusisha uchimbaji wa visima na ujenzi wa miundombinu ya maji kwa thamani ya zaidi ya TZS 325 milioni.

Ujenzi wa Kituo cha Polisi Nandagala, wenye thamani ya TZS 164 milioni.


Ujenzi wa Kituo cha Afya Namakuku, ambapo Mwenge wa Uhuru utaweka jiwe la msingi kwenye jengo la OPD lenye thamani ya zaidi ya TZS 153 milioni.


Ujenzi wa Shule ya Sekondari Namakuku, ambapo Mwenge utaweka jiwe la msingi kwenye mradi wenye thamani ya zaidi ya TZS 591 milioni.


Kwa mujibu wa ratiba, Mwenge wa Uhuru unatarajiwa kupokelewa Mei 28 katika Kijiji cha Namichiga, ambapo utapitia miradi hiyo na hatimaye kulala katika Kijiji cha Nandagala wilayani Ruangwa.



@ortamisemi

@owm_tz

@ofisi_ya_makamu_wa_rais

@maelezonews

@nchikwanza

@samia.app

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.