• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

MHE. TELACK AWATAKA WAKUU WA WILAYA WAPYA WAHAKIKISHE WATOTO WOTE WANAANDIKISHWA SHULE

Posted on: January 31st, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Zainab Telack amewataka Wakuu wa Wilaya za Lindi kuhakikisha wanafunzi wanaoanza kidato cha kwanza na darasa la kwanza wanajiunga na masomo kwa 100%.

Mhe. Telack ametoa maelekezo hayo leo asubuhi katika hafla fupi ya kuwaapisha Wakuu wa Wilaya wapya walioteuiwa na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan tarehe 25 Januari 2023.  Wakuu wa Wilaya walioteuliwa kwa Mkoa wa Lindi ni  Mhe. Goodluck Asaph Mlinga anakuwa Mkuu wa Wilaya ya Liwale pamoja na Mhe. Christopher Ngubiagai anakuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilwa. Aidha, Mhe. Mohamed Hassan Moyo anakuwa Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea baada ya kuhamishiwa kutoka Wilaya ya Iringa.

Katika hafla hiyo, Mhe. Zainab Telack  amewasisitiza Wakuu wa Wilaya hao kusimamia na kuhakikisha wanafunzi wote wanaotakiwa kuanza kidato cha kwanza na darasa la kwanza wanaanza masomo mara moja. Pia kuhakikisha wanafunzi hao wanahudhuria darasani kwa siku zote 194 za masomo kwa mwaka mzima.

Pamoja na suala hilo la wanafunzi wanaanza masomo, Mhe. Telack amewaelekeza Viongozi hao kusimamia uanzishwaji wa mashamba shuleni kwa ajili ya kuzalisha mazao ya chakula na kuondoa changamoto ya njaa kwa wanafunzi wakati wa mchana.

“ Wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza wawe darasani, lakini wale wenye sifa waliofikia umri wa kuanza darasa la kwanza wote wawepo darasani.”

“Tumekubaliana shule zetu zina maeneo makubwa sana, tumekubaliana Wakuu wa Shule waanzishe mashamba ili watoto wapate chakula cha mchana……nendeni mkasimamie.”  Amesema Mhe. Telack.

Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Mhe. Ngubiagai amesema kuwa suala la elimu ni haki ya msingi ya mtoto hivyo  atatumia taratibu zote zilizowekwa ikiwemo sheria kuhakikisha mzazi yeyote mwenye mtoto anaetakiwa kuanza darasa la kwanza, darasa la awali au kidato cha kwanza anamfikisha mwanae shuleni kuanza masomo mara moja.

Akitangaza vita kali dhidi ya wazazi wanaowanyima haki ya elimu watoto, Mkuu wa Wilaya ya Nachngwea Mhe. Mohamed Hassan Moyo amesema kuwa ustawi wa mtoto na haki ya mtoto lazima visimamiwe ipasavyo hivyo litafanyika zoezi la kuwatambua na kuwafikisha shuleni watoto wote wanaotakiwa kuanza masomo.

“Suala la elimu ni mapambano, ustawi wa mtoto na haki ya mtoto lazima visimamiwe, kwa hiyo mzazi yeyote yule atakae sababisha mwanae kutokwenda shule kwa sababu zozote zile hatutoweza kumfumia macho………….suala la mwanafunzi kwenda shule ni suala msingi na tutafuatilia nyumba kwa nyumba, kitanda kwa kitanda.”    

 

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.