• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

Mhe. Zambi: Viongozi na watendaji fanyeni kazi

Posted on: August 12th, 2018

Mhe. Zambi: Viongozi na watendaji fanyeni kazi

Viongozi na watendaji wa taasisi mbalimbali za serikali katika mkoa wa Lindi watakiwa kuacha kufanya kazi kwa mazoea na badala yake wafanye kazi kwa kuhakikisha wanatatua kero za wananchi.

Haya yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mhe. Godfrey Zambi katika kikao kazi alichokiitisha ambacho kiliwahusisha Wakuu wa Wilaya, Kamati ya Ulinzi na Usalama, Wakurugenzi wa Halmashauri, Viongozi wa Taasisi mbalimbali katika mkoa, wakuu wa idara na vitengo katika mkoa na halmashauri pamoja na wataalam wengine.

Mhe. Zambi amesema katika mkoa kuna baadhi ya watumishi ambao bado wanafanya kazi kwa mazoea kitu ambacho kinasababisha huduma zinazotolewa kwenye maeneo husika kuwa mbovu na hatimaye kusababisha wananchi kulalamika.

“Ni lazima kila kiongozi ahakikishe anawasimamia ipasavyo watumishi walio ndani ya taasisi yake au ndani ya eneo lake ili wafanye kazi zao kwa kuzingatia sheria, kanuni, taratibu na kwa kuzingatia maadili ya taaluma zao”, alisema Mhe. Zambi.

“Viongozi na watumishi wote kwa ujumla ni lazima muelewe mnyororo wa ukubwa kazini kuanzia ngazi ya Mkoa, Wilaya na hata katika Taasisi zenu na kuhakikisha mnayafanyia kazi maelekezo/maagizo na ushauri utakaokuwa umetolewa na viongozi walio juu yenu”, aliongeza Mhe. Zambi.

Aidha, Mhe. Zambi aliwataka Wakuu wa Wilaya kuhakikisha wanazisimamia wilaya zao ili kuhakikisha wilaya zinasonga mbele kimaendeleo. Pia aliwataka waelewe na kufuatilia kwa karibu shughuli zote zinazofanywa na taasisi mbalimbali zilizopo katika wilaya zao.

Vilevile viongozi na watendaji wametakiwa kutoa huduma kwa kufuata mikataba kwa huduma ya taasisi huku taasisi ambazo bado hazina mikataba hiyo zikiagizwa kutengeneza. Taasisi zote zimeagizwa kuwasilisha mikataba hii kwa Mkuu wa MKoa mwezi Decemba, 2018.

Katika kikao hicho Mhe. Zambi alizungumza mambo mbalimbali ya kisekta mfano elimu, afya, kilimo, ugavi na mahakama, ambapo pia alitoa maelekezo mbalimbali huku kubwa akiwataka viongozi na watendaji kufanya kazi kwa weledi na kuacha kukaa maofisini badala yake kwenda kwa wananchi kutatua kero walizonazo.

Viongozi na watendaji kutoka taasis mbalimbali wakisikiliza maelekezo kutoka kwa Mkuu wa Mkoa

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.