• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

MIAKA SITA YA UTEKELEZAJI WA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOANI LINDI, WALETA MATOKEO CHANYA

Posted on: May 2nd, 2025

Mkoa wa Lindi ulibuni utaratibu wa Utoaji tuzo za Elimu kwa Mitiani na pimaji za Kitaifa tangu mwaka 2019 ikiwa ni namna ya kupongezana, kuongeza ushindani, hamasa na motisha miongoni mwa wanafunzi, walimu, wasimamizi wa sekta na idara mbalimbali za elimu na wanajamii kwa ujumla.


Hayo yameelezwa na Katibu Tawala Msaidizi Elimu Mkoa wa Lindi Mwalimu. Joseph Mabeyo wakati akitoa taarifa ya hali ya elimu katika hafla ya utoaji wa tuzo za elimu kwa shule, walimu,wanafunzi na Halmashauri zilizofanya vizuri katika mitiani na pimaji za kitaifa zilizofanyika mwaka 2024 pamoja na Uzinduzi wa Mpango Mkakati wa Elimu Mkoa wa Lindi, ambapo kwa mwaka huu hafla hizo zimefanyika wilayani Ruangwa.


Katika hafla hiyo inayokwenda na Kauli Mbiu isemayo 'Uwajibikaji Wangu ni Msingi  Mwl. Mabeyo amewapongeza walimu na wanafunzi sambamba na ushirikiano wa wazazi na mshikamano ambao umechagiza kupatikana kwa matokeo chanya kwa kuongeza ufaulu kimadaraja na kuendelea kupunguza idadi ya wanafunzi wanaopata daraja sifuri kutoka wanafunzi 375 mwaka 2023 hadi 335 sawa na 4.16% mwaka 2024. 


Aidha, kwa kuzingatia kuwa sekta ya Elimu ndio msingi wa ustawi wa Mkoa wa Lindi na maendeleo ya Taifa kwa ujumla, Mwl. Mabeyo ameeleza kuwa Mkoa utaendelea kufanya tathmini ya Mpango Mkakati wa Elimu inayowekwa kila mwaka na kuendelea kutoa tuzo za Elimu kwa walimu na wanafunzi ili kuzidi kujenga ari ya kujituma zaidi na kuzidi kupata matokeo chanya

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.