• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

MIRADI YA MAJI ITEKELEZWE KWA WAKATI- RC. TELACK

Posted on: December 22nd, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Zainab Telack amewataka wakandarasi waliokabidhiwa miradi ya ujenzi wa miundombinu  ya maji kufanya kazi zao kwa weredi na kuhakikisha kuwa wanakabidhi miradi hiyo kwa wakati uliopangwa ikiwa imekamilika.

Mhe. Telack ameyasema hayo wakati wa zoezi la utiaji saini wa mikataba ya miradi 15 ya  ujenzi wa miundombinu ya maji yaliyofanyika baina ya Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) na wakandarasi waliokabidhiwa miradi hiyo ambapo amesema “ Wakandarasi tunategemea kuwa mtatekeleza ujenzi wa miundombinu hii ya maji kwa wakati ambao tumepanga au chini ya wakati uliopangwa ikiwa imekamilika na tunaamini kuwa RUWASA wamefanya uchaguzi mzuri na wamewaamini hivyo msiwaangushe”

Aidha, Mkuu wa Mkoa amewataka RUWASA kuhakikisha kuwa wakandarasi wanalipwa stahiki zao mapema na kwa wakati ili kuwajengea mazingira mazuri wanapokuwa wanafanya kazi zao katika maeneo husika.

Katika taarifa yake, Meneja wa RUWASA Mkoa, Mhandisi. Muhibu Lubasa amesema hali ya upatikanaji wa maji maeneo ya vijijini katika mkoa wa Lindi umefikia asilimia 66.9 kwa mwaka 2021 na kuongeza kuwa utekelezaji wa miradi hiyo itaongeza upatikanaji wa maji safi na salama vijijini kwa asilimia 7.76 na kuongeza huduma ya maji kwa Mkoa wa Lindi hadi asilimia 74.66 kufikia Juni,2022.

“Katika utekelezaji wa shughuli za sekta ya maji katika mkoa wa Lindi, RUWASA leo inaingia katika mikataba kwa kusainishana na wakandarasi wa miradi ya maji 15. Jumla ya miradi 15 itakayosainiwa leo ina jumla ya fedha za kitanzania shilingi 7,100,605,415.22” Ameongeza Mhandishi. Lubasa.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.