• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

MKOA WA LINDI UMEPUNGUZA VIFO VYA WAJAWAZITO NA WATOTO WACHANGA- DC MWANZIVA

Posted on: March 13th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Lindi Mhe: Victoria Mwanziva kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Zainab Telack amewapongeza wataalamu wa afya Mkoa wa Lindi kutoka katika Halmashauri zote sita kwa jitihada za kuhakikisha vifo vya mama na watoto wachanga vinapungua.


Mhe. Mwanziva ameyasema hayo katika kikao cha kujadili vifo vya wamama vitokanavyo na uzazi na watoto wachanga hususan walio chini ya siku 28 kilichofanyika katima ukumbi wa mikutano, Shule ya Sekondari Nyanyao ambapo ameeleza kuwa katika Mkoa wa Lindi vifo vya mama vitokanavyo na uzazi vimepungua kutoka vifo 38 mwaka 2023 hadi kufikia vifo 27 mwaka 2024 lakini pia vifo vya watoto wachanga chini ya siku 28 vimepungua kutoka 272 mwaka 2023 hadi kufikia vifo 242 mwaka 2024.


Aidha, Mhe. Mwanziva amewasisitiza wataalamu kutilia mkazo zaidi udhibiti wa vifo vya watoto wachanga kwa kusimamia utekelezaji wa viashiria vya mama na mtoto pamoja na kutoa huduma za afya kwa kuzingatia kanuni, maadili na miiko ili kufikia lengo la kupunguza vifo vya wajawazito na watoto wachanga.


Aidha DC Mwanziva amempongeza kwa dhati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DKT. Samia Suluhu Hassan kwa jitihada zake na uwekezaji mkubwa uliofanyika katika sekta ya afya uliosaidia mafanikio hayo ya kupunguza idadi ya vifo ndani ya mwaka mmoja, jitihada hizo ni pamoja na ujenzi wa hospitali ya Mkoa, ujenzi wa hospitali mpya za Halmashauri ikiwemo hospitali ya Wilaya ya Mtama iliyopo Kiwalala pamoja na marekebisho mbalimbali katika vituo vya afya na zahanati.

Kikao hiko kimewakutanisha wadau mbalimbali wanaofanya kazi za kuratibu shughuli za afya ya mama na mtoto ikiwemo Timu za usimamizi wa afya ngazi za wilaya na Mkoa (CHMTs na RHMT) za Mkoa wa Lindi, Timu ya Madaktari wasio na Mipaka (MSF), MSD, Marie Stoppes na wengineo.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.