• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

MKOA WA LINDI UNAOONGOZA KWA KUWA NA MISITU MIKUBWA

Posted on: April 20th, 2023

Hayo yamebainika katika uzinduzi wa Kampeni ya upandaji miti Kimkoa Kwa mwaka 2022/23 iliyofanyika Jumatano ya tarehe 19 Aprili 2023 katika Shule ya Wasichana iliyopo katika kata ya Kilangala, Manispaa ya Lindi.

Akizindua Kampeni hiyo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mkuu wa Wilaya ya Lindi Mhe. Shaibu Ndemanga amesema kuwa Mkoa wa Lindi unashika namba mbili kwa kuwa na misitu mikubwa ya asili iliyotunzwa vizuri, huku Mkoa wa Katavi ukishika namba moja.

Mhe. Ndemanga ameongeza kuwa ili kuendelea kuhifadhi misitu yetu ni lazima kila taasisi, kijiji, Kata, Wilaya ihakikishe inapanda miti katika maeneo yao. Mhe. Ndemanga amewasihi wananchi kuwa wazalendo kwa kutunza Mazingira kwa ajili ya kizazi kijacho.

Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Mhe. Christopher Ngubiagai amewasihi wananchi wa Mkoa wa Lindi kutunza Mazingira na misitu vizuri ili iendelee kuchangia mahitaji mahimu kwa maisha ya binadamu na viumbe hai wengine.

Ameongeza kuwa kwa upande wa Wilaya ya Kilwa katika kijiji cha Nanjilinji, misitu imekuwa na faida kubwa kwa jamii ya kijiji hicho. Halmashauri ya kijiji hicho iliwahi kutenga kiasi cha fedha Kwa ajili ya kuwahudumia kina mama wajawazito wote kuanzia hatua ya ujauzito mpaka hatua ya kujifungua.

Mhe. Ngubiagai ameendelea kusema kuwa faida hizi zote zilizopatikana katika kijiji cha Nanjilinji ilitokana na faida iliyopatikana kutokana na mauzo ya mazao ya msitu wa Nanjilinji unaotunzwa na kusimamia na kijiji hicho.

Pamoja na faida hizi, Mhe. Ngubiagai ametoa wito kwa taasisi zote kushikamana na kukabiliana na changamoto zinazochangia kuharibu mazingira ikiwemo kilimo cha kuhama hama cha ufuta, ufugaji usiofuata utaratibu pamoja na uchonaji moto holela.

Katika makabidhiano ya Mwenge wa Uhuru Kati ya Mkoa wa Lindi na Ruvuma, Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Ndg. Abdalla Shaib Kaim akizungumza na wananchi katika kijiji cha Sautimoja, Wilaya ya Tunduru alisema kuwa amefurahishwa Sana na mazingira ya kijani ya Mkoa wa Lindi. 














Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.