• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

MKOA WA LINDI WAADHIMISHA SIKU YA MEI MOSI KWA KISHINDO WILAYANI LIWALE

Posted on: May 1st, 2025

‎‎Katika kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) yaliyofanyika kimkoa  Wilayani Liwale, waajiri wametakiwa kuhakikisha wanazingatia sheria, taratibu, miongozo na haki za wafanyakazi ili kujenga mazingira bora ya kazi.

‎

‎Hayo yamesemwa na Mhe. Goodluck Mlinga, Mkuu wa Wilaya ya Liwale kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Lindi alipokua akihutubia wafanyakazi, viongozi wa serikali, na wananchi waliohudhuria na kusisitiza kuwa uhusiano mwema baina ya waajiri na waajiriwa hauwezi kujengwa bila kufuata misingi ya haki, sheria za kazi na taratibu za ajira.

‎

‎“Waajiri mnapaswa kuwa mfano wa kuigwa kwa kuhakikisha mnazingatia sheria zote zinazohusu ajira. Haki ya mfanyakazi ni msingi wa maendeleo ya taasisi na taifa kwa ujumla,” alisema Mhe. Mlinga.

‎

‎Aidha, amesisitiza kuwa serikali itaendelea kuhakikisha sheria za kazi zinasimamiwa ipasavyo ili kuhakikisha wafanyakazi wanafanya kazi katika mazingira salama, yenye staha na yenye kulinda utu wao.


"Waajiri wote wanapaswa kufuata sheria na miongozo ya kazi kwa kuzingatia sheria na maadili kazini namba. 366. Ninaagiza waajiri wote kuzingatia sheria hiyo na iwapo kuna malalamiko yapelekwe kwenye ofisi ya Kazi mkoa na kuyawasilisha malalamiko ya maslahi ya wafanyakazi katika mamlaka husika ili kuweza kuyafanyia kazi kwa wakati" ameongeza


Katibu Tawala Msaidizi Utawala na Rasilimali Watu Ndg. Nathalis Linuma, akitoa salamu za Katibu Tawala Mkoa wa Lindi kwa wafanyakazi ameeleza kuwa ni muhimu kusheherekea sikukuu yao ya wafanyakazi na kuzingatia kauli mbiu inayohimiza ushiriki wa wafanyakazi katika Uchaguzi Mkuu na kuitafakari kwa kina ili kuitendea haki kwa wakati ili kuchagua viongozi ambao watatetea maslahi yao.


‎Nyabange Mgendi, Katiku wa CWT wilaya ya Nachingwea, ameiomba serikali kuendelea kutia mkazo kwenye maslahi ya wafanyakazi hususan katika stahiki zao ikiwemo mafao ya kustaafu, posho za likizo na uhamisho pamoja na kujiendeleza kimasomo.

‎

‎ “Tunashukuru serikali kwa kutambua mchango wetu, lakini pia tunaiomba iweke msisitizo kwa waajiri wote kuheshimu maslahi yetu na kupatikana kwa stahiki zetu pale inapotokea tumestaafu kama ilivyoainishwa kwenye sheria. Tuko tayari kufanya kazi kwa bidii, lakini tunahitaji mazingira rafiki na yenye usawa.”


Kauli mbiu ya maadhimisho ya Mei Mosi 2025 inasema " Uchaguzi Mkuu 2025 Utuletee Viongozi Wanaojali Haki na Maslahi ya wafanyakazi , Sote Tushiriki "

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.