• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

NAIBU WAZIRI AWATAKA VIONGOZI WA WILAYA KUCHUKUA HATUA KABLA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI HAIJAFIKIA HATUA MBAYA

Posted on: September 14th, 2021

Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega amesema hayo siku ya Jumatatu ya terehe 13 Septemba 2021 alipotembelea na  kuzungumza na jamii za wakulima na wafugaji kwenye mikutano miwili iliyofanyika katika vijiji vya Nakiu na Nanjilinji  vilivyopo Wilaya ya Kilwa.

Akizungumza wa wananchi hao, Mhe. Abdallal Ulega aliwapa pole kwa vifo vilivyotokea katika vijiji hivyo vilivyotokana na mapigano kati ya wakulima na wafugaji wiki chache zilizopita. Wakioneshwa kuchoshwa na vitendo vya kupigwa mara kwa mara na vyombo vya dola kutotenda haki, wakulima wamemuomba Naibu Waziri kuwaondoa wafugaji na kuwapeleka mahali pengine, “ Wafugaji watafutiwe maeneo mengine ili amani ipatikane  ” mkazi wa kijiji cha Nanjilinji ndugu. John Bundala alieleza. Kundi la wafugaji lilieleza mbele ya mkutano sababu zinazopelekea kutokea kwa mapigano makubwa ni  viongozi kuchelewa kuchukua hatua pale inapoonekana kuna dalili ndogo ndogo za migogoro, pia kutokuwepo kwa kituo cha Polisi kwenye tarafa nzima ya Nanjilinji.

Mhe. Abdallal Ulega  amezitaka jamii zote mbili kuishi kwa amani, kuthaminiana na kutambua umuhimu wa shughuli za jamii moja na nyingine kwa kuwa maisha ya jamii zote mbili ni kutegemeana. Akioneshwa kutofurahisha na migogoro ya wakulima na wafugaji amewataka viongozi wa  vijiji, kata, tarafa na wilaya kuchukua hatua haraka pindi zinapojitokeza dalili za vurugu. Pia amewataka viongozi hao kuunda kamati za amani na maridhiano sambamba na kuunda njia za kupita ng’ombe wanapoelekea kunywa maji kwenye mto wa mbwemkulu ili kuepusha uharibifu wa mazao.

Mhe. Abdallal Ulega ameiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa imalize ujenzi wa kituo cha Polisi cha Nanjilinji ili kusogeza huduma ya usalama kwenye maeneo hayo, pamoja na hilo pia amewataka watende haki wanapofanya maamuzi mbali mbali yanayohusisha makundi hayo mawili.  

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.