• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

RAS- "FEDHA ZA MIRADI YA AFYA ITUMIKE KAMA ILIVYOELEKEZWA"

Posted on: September 22nd, 2022

Katibu Tawala Mkoa wa Lindi, Ndg. Ngusa Samike  ameendelea  na ukaguzi wa ujenzi wa  kituo cha  afya  Kipindimbi, wilaya ya Kilwa, kama alivyohaidi kwa wananchi wa eneo hilo ambapo ameridhishwa na kasi ya umaliziaji wa majengo ya awali ya kituo hiko.

“Hapa watumishi naomba tuendelee kuwajibika hasa mhandisi na afisa manunuzi, tuhakikishe tunaleta vifaa eneo la ujenzi  kwa wakati visicheleweshe ili huu mradi uanze kutoa huduma, lakini pia tuhakikishe ubora wa haya majengo unaendana na thamani ya fedha iliyotumika hapa na hii inahusisha na ujenzi wa majengo haya mapya ambayo fedha yake imepokelewa na tunatakiwa kujenga jengo la wazazi, jengo la kufulia na jengo la upasuaji, niagize fedha hizi zitumike kwa usahihi na zikamilishe majengo yote kwa  kufata maagizo tuliyopewa zile hadithi za kupanda kwa gharama za ujenzi zisiwepo tena kinyume chake ni tutachukuliana hatua”

Pia, Katibu Tawala Mkoa amemuagiza Mganga Mkuu wa Wilaya kuanza kuandaa mazingira ya kituo kuanza kutoa huduma punde tu watakapokabidhiwa.

 “DMO, anza kuandaa mazingira ya upatikanaji wa vifaa tiba, madawa pamoja na watumishi watakaokuja kutoa huduma hapa ili mradi ukikamilika hapa tuanze kutoa huduma za afya kwa wananchi na sio kuanza tena kusubiri kwa muda mwingine wakati wananchi wanahitaji huduma hizo, hivyo tuanze kutoa huduma wakati tun asubiri kukamilika kwa majengo mengine mapya ambayo tushapokea fedha zake na tumeshaanza ujenzi”

 Katibu Tawala wa Mkoa wa Lindi Ndg. Ngusa Samike anafanya ziara ya kukagua na kufanya tathmini ya huduma za afya ikiwemo kukagua upatikanaji, uhifadhi na msawazo wa madawa pamoja na vifaa tiba katika vituo vya afya,ukusanyaji wa mapato na matumizi ya 50% ya mapato katika vituo vya afya, ukaguzi wa maabara na vipimo vinavyopatikana, utoaji  na uhifadhi wa chanjo pamoja na huduma za mama na motto, huduma wa watu waishio na maambukizi ya VVU/UKIMWI pamoja na ukaguzi wa miradi ya afya iliyopo katika halmshauri zote mkoani Lindi.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.