• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe |
    • Malalamiko |
Lindi Region

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Lindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Uongozi wa Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Sehemu
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Menejimenti ya Serikali za Mtaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Manunuzi na Ugavi
  • Wilaya
    • Kilwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Lindi
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Liwale
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Nachingwea
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
    • Ruangwa
      • Historia ya Wilaya
      • Uongozi wa Wilaya
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa
    • Halmashauri ya Manispaa ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Lindi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Liwale
    • Halmashauri ya Wilaya ya Nachingwea
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma ya Maji
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Jarida
    • Fomu
    • Sheria
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha
    • Habari

RAS LINDI AHIMIZA MATUMIZI SAHIHI YA 50% YA VITUO VYA AFYA KILWA.

Posted on: September 22nd, 2022

Katibu Tawala Mkoa wa Lindi Ndg. Ngusa Samike amefanya ziara ya ukaguzi katika vituo vya afya katika wilaya ya Kilwa kwa lengo la kufanya tathmini ya huduma za afya katika vituo vya afya, ukusanyaji na utumiaji wa mapato katika vituo vya afya pamoja na upatikanaji wa msawazo wa madawa na vifaatiba katika vituo vya afya ndani ya wilaya hiyo.

Katika ziara hiyo, Katibu Tawala amegundua kukosekana kwa daftari la vihatarishi vya wajawazito pamoja na vipimo vya magonjwa kama kaswende na vidonge vya kuongeza damu kwa wajawazito katika vituo vingi vya afya ikiwemo kituo cha afya Tingi na Kilwa Masoko na kuwataka wafamasia kuhakikisha kunakua na mgawanyo sawa wa madawa na vifaatiba.

“Vipimo kama vya kaswende na dawa za kuongeza damu ni vitu vya umuhimu kwa mama mjamzito kuvipata, sasa unaweza kukuta hapa havipo lakini vituo vingine vipo lakini mahitaji yake ni madogo ukilinganisha na hapa, na hii inapelekea madawa yanaisha wakati wake maana yalipo hakuna watumiaji, lakini pia waganga wafawidhi mjitahidi kufanya maoteo ya madawa na vifaatiba ili kabla havijaisha kabisa katika vituo vyenu muwe mnafahamu hadi lini vitaweza kukidhi na kabla havijaisha muwe tayari mshaomba vingine” Katibu Tawala.

 Mganga Mkuu wa Mkoa, Dokta. Kheri Kagya amewaagiza watumishi wa afya wilayani Kilwa kuhakikisha wanaweka kumbukumbu sahihi za dawa zinazotoka na kuingia katika bohari za dawa za vituo vyao pamoja na matumizi sahihi ya mfumo wa GoT -HoMIS na kuhakikisha wanatumia 50% ya mapato kwa kununua madawa na vifaatiba.

“Mfamasia wa wilaya uwe na mazoea ya kutembelea hivi vituo vya afya ili ukague na utoe elimu ya jinsi ya kuhifadhi, utoaji wa dawa na uwekaji wa kumbukumbu wakati wa kupokea na kutoa dawa, wafamasia mliopo vituoni muache tabia ya kujifungia kwenye bogari za dawa huku mnaweza kukaa hata siku mbili tu za wiki kwa ajiri ya kujaza kumbukumbu zenu siku nyingine za wilki mukakae kwenye maduka ya dawa ya vituo muhudumie wananchi, vilevile wajumbe wa CHMT za wilaya maagizo yameshatolewa na nyinyi muwekwe kwenye ratiba za kutoa huduma ili msipoteze ujuzi mlionao katika kutoa huduma za afya hivyo mjiandae kwa hilo” ameongeza Dokta Kagya.

 

 

                                                                                            

Matangazo

  • WANAFUNZI WALI0CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021-MKOA WA LINDI March 29, 2021
  • Vitabu vya kalenda za utekelezaji wa mitaala ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari February 08, 2022
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO KWA MKOA WA LINDI 2022 May 09, 2022
  • FOMU ZA MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI KWA MKOA WA LINDI (JOINING INSTRUCTIONS) December 16, 2020
  • tazama zote

Habari Mpya

  • JAMII NA WAZAZI WATAKIA KURUDI KUBEBA JUKUMU LA MALEZI KWA WATOTO

    May 03, 2025
  • MKUU WA MKOA WA LINDI AONGOZA KIKAO CHA LISHE NGAZI YA MKOA

    May 03, 2025
  • MHE. TELACK AZINDUA MPANGO MKAKATI WA ELIMU MKOA WA LINDI KWA MWAKA 2025

    May 02, 2025
  • RC TELACK AKABIDHI TUZO ZA ELIMU KWA WALIMU,WANAFUNZI NA HALMASHAURI ZILIZOFANYA VIZURI MKOANI LINDI.

    May 02, 2025
  • tazama zote

Video

CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO YA CHAMA CHAO MAPEMA ILI KUWAPA UTULIVU WANACHAMA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Watumishi Portal
  • Kilwa District Council
  • Nachingwea Disctrict Council
  • Ruangwa District Council
  • Liwale District Council
  • Lindi Municipal
  • Lindi District Council

Kurasa mashuhuri

  • Public Procurement Reguratory Authority
  • Tamisemi
  • e-Government Agency
  • Watumishi Portal
  • Sekretarieti ya ajira
  • CWT WASHAURIWA KUMALIZA MIGOGORO ILI WANACHAMA WAPATE UTULIVU

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Lindi

    Sanduku la Posta: P.o Box 1054 Lindi

    Simu: 023-220-2098

    Rununu:

    Barua pepe: ras.lindi@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hati miliki ©2017 Lindi . Haki zote zimehifadhiwa.